Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Wana JF,
Jenerali Ulimwengu ameandika maneno mazito sana yenye ujumbe mzito sana kwa Watawala.
"Watawala wenye kiburi wapo kila mahali na katika kila zama. Wanayo maslahi yao,na watayasimamia kwa gharama yoyote,hata kwa kuwaziba midomo wale wanaompinga, kuwapiga hata kuwaua. Mifano mingi tumeishuhudia, nchini na nyingi jirani.
Hatuna sababu kuamini watabadilika leo au kesho".
Nampongeza sana Jenerali Ulimwengu kwa kuweza kusema ukweli ambao ni wachache wenye uwezo wa kuusema.
Wasiopenda kuambiwa ukweli ujumbe utakuwa umewafikia.
Jenerali Ulimwengu ameandika maneno mazito sana yenye ujumbe mzito sana kwa Watawala.
"Watawala wenye kiburi wapo kila mahali na katika kila zama. Wanayo maslahi yao,na watayasimamia kwa gharama yoyote,hata kwa kuwaziba midomo wale wanaompinga, kuwapiga hata kuwaua. Mifano mingi tumeishuhudia, nchini na nyingi jirani.
Hatuna sababu kuamini watabadilika leo au kesho".
Nampongeza sana Jenerali Ulimwengu kwa kuweza kusema ukweli ambao ni wachache wenye uwezo wa kuusema.
Wasiopenda kuambiwa ukweli ujumbe utakuwa umewafikia.