Tram Almasi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 749
- 226
Kuna watu wakiongea kitu unajuwa wanamaanisha03* Ulimwengu ni mtu ambae siku zote yuko within logic and reason. Hio article nimeisoma, ina ujumbe mzito BUT nimeona niiangalie more like a critique than tu kuikubali kama ilivo kwa mimi kuweza elewa na faidika nayo. Huwa nasoma makala zake once in a while na huwa hazinipi shida katika kumpata03*
Kwa maelezo yako ulotoa (hasa paragraph ya pili); imeonesha kuwa nimeelewa vema kama wewe pia umeelewa hivo. Kama ulivosema na nakubaliana nawewe kuwa hajatumia neno zuri. Hata hivo nadhani shida sana sio kuendekeza kwa hayo mambo; shida ni kitendo cha kuwa na audacity ya ku-entertain vitu kama entertainment in a time ambayo taifa inakumbana na matatizo kila Nyanja, kila sector, ndani/nje and between hizo Nyanja na sector03* Sad.
Tukija upande wa mfano wako wa Kanumba... Lets just not go there! Words can not suffice at the moment.
Ninatatizika na unachosema wewe na wanachosema baadhi ya wachangiaji kwamba katumia neno 'baya,lisiloleta hisia chanya' miongoni mwetu. Lakn ninachokiona hapa ni watu kuangalia neno moja tu ''upuuzi'' na kujaribu kuonyesha kwamba makala nzima imepotoka. Ni vema wasomaji waliangalie neno 'upuuzi' kwa kina na kulielewa umaana wake kabla hatujajaribu kutoa ctitique kwa kitu ambacho bado hatujakiangalia deep.Jenerali,unapomsikiliza au kusoma makala zake,unahitaji jicho na sikio la ziada kupata anajaribu kukipresent.