Jenerali Ulimwengu: " Ewe Jakaya Mwema!"

Sumaku

Member
Feb 17, 2009
53
1
Jamani naitafuta makala hii ya Jenerali Ulimwengu. Ilitoka katika jarida la Rai ikiwa na sehemu kama tatu au nne. Ilikuwa ni barua ndefu fulani ikielezea jinsi Ulimwengu alivyomfahamu Jakaya Kikwete tangu enzi za Umoja wa Vijana wa TANU. Hivi Ulimwengu alizungumzia nini zaidi katika barua ile ndefu. Mwenye nayo atuingizie humu.
 
Jamani naitafuta makala hii ya Jenerali Ulimwengu. Ilitoka katika jarida la Rai ikiwa na sehemu kama tatu au nne. Ilikuwa ni barua ndefu fulani ikielezea jinsi Ulimwengu alivyomfahamu Jakaya Kikwete tangu enzi za Umoja wa Vijana wa TANU. Hivi Ulimwengu alizungumzia nini zaidi katika barua ile ndefu. Mwenye nayo atuingizie humu.

Kwa upole, heshima na taadhima, alikuwa anamtahadharisha mkuu mpya wa nchi kuongoza nchi kwa kufuata sheria, maadili na kuzingatia utawala bora -- kwamba ndiyo njia pekee ya kukubalika kwa wananchi. Hakuliacha suala la ufisadi -- kwamba asipokuwa makini naye atajikuta ametumbikia katika dimbwi hilo.

Ni dhahiri JK aliyapuuza maonyo hayo na ndio maana sasa hivi amejikuta katika tope kubwa na kulazimika kutumia nguvu za ziada kukubalika katika uchaguzi huu unaomkabili.
 
Kwa upole, heshima na taadhima, alikuwa anamtahadharisha mkuu mpya wa nchi kuongoza nchi kwa kufuata sheria, maadili na kuzingatia utawala bora -- kwamba ndiyo njia pekee ya kukubalika kwa wananchi. Hakuliacha suala la ufisadi -- kwamba asipokuwa makini naye atajikuta ametumbikia katika dimbwi hilo.

Ni dhahiri JK aliyapuuza maonyo hayo na ndio maana sasa hivi amejikuta katika tope kubwa na kulazimika kutumia nguvu za ziada kukubalika katika uchaguzi huu unaomkabili.

Mifano hai ipo wapi mkapa,sumay,malecela,Dr.Salim ahmed, kingunge???

 
Kwa upole, heshima na taadhima, alikuwa anamtahadharisha mkuu mpya wa nchi kuongoza nchi kwa kufuata sheria, maadili na kuzingatia utawala bora -- kwamba ndiyo njia pekee ya kukubalika kwa wananchi. Hakuliacha suala la ufisadi -- kwamba asipokuwa makini naye atajikuta ametumbikia katika dimbwi hilo.

Ni dhahiri JK aliyapuuza maonyo hayo na ndio maana sasa hivi amejikuta katika tope kubwa na kulazimika kutumia nguvu za ziada kukubalika katika uchaguzi huu unaomkabili.

Ulimwengu ni mnafiki tu, kwani JK alipoanza tu term yake Ulimwngu alikuwa mmoja wa wapambe wake kwa kusema kwa mara ya kwanza ndio anasikia Rais anakemea rushwa jukwaani baada ya Mwalimu Nyerere. Ni kwa sababu tu alikuwa na bifu na Mkapa!
 
Ulimwengu ni mnafiki tu, kwani JK alipoanza tu term yake Ulimwngu alikuwa mmoja wa wapambe wake kwa kusema kwa mara ya kwanza ndio anasikia Rais anakemea rushwa jukwaani baada ya Mwalimu Nyerere. Ni kwa sababu tu alikuwa na bifu na Mkapa!

Ulimwengu hakupata kuwa mpambe wa JK. Uchaguzi wa 1995 ndiyo alikuwa mpambe wa Mkapa na baada ya gazeti lake la The African kutoboa kashfa ya Hassy Kitine (in 1998), walikosana, kwani Mkapa hakutaka Ulimwengu awe anatoboa mambo ya kashfa ya ufisadi.
 
binafsi nilizisoma zile barua za wazi za jeneral, na naweza mtetea. kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi akiwemo jeneral ushindi wa kikwete uionesha kama sasa nuru imewadia. kiasi kwamba hata jeneral akawa anadhani kazi yake ya uandishi wakuikosoa serikari kwamba sasa basi maana ukombozi umefika na ndio maana hata wakaamua kuliuza gazeti la Rai.
nilisoma barua ya kwanza mpaka ya mwisho yaani mwandishi alikuwa anaona kazi yake basi majibu yamepatikana baadaye jeneral alituomba radhi watanzania toleo la kwanza la Raia mwema. akaamua kurudi baada ya kuona mambo mdembwedo kila siku ikulu kuna sikukuu. waandishi aliowaachia akiwemo magid mjengwe maana ndiye aliyeachiwa kuandika Rai ya jenerala lakini majidi akanunuliwa na mafisadi.
kwa hiyo msamehe jeneral sababu aliweka matumaini yake katika sehemu isiyo na matumaini.
 
Jenerali ni patriotic kweli, hawezi kuwa mpambe wa JK hata siku moja. He always speaks the truth!!!

CCM hawawezi kumpenda mtu wa namna hii!!! Stuka...
 
Ulimwengu ni mnafiki tu, kwani JK alipoanza tu term yake Ulimwngu alikuwa mmoja wa wapambe wake kwa kusema kwa mara ya kwanza ndio anasikia Rais anakemea rushwa jukwaani baada ya Mwalimu Nyerere. Ni kwa sababu tu alikuwa na bifu na Mkapa!

sasa hapo unafiki wake uko wapi? kwa namna hiyo unamaanisha hata Rostam akisema jk amemwonue mramba kuwa ni safi ilhali anakesi mahakamani basi rostam atakuwa mnafiki kwa kikwete?
 
Ulimwengu hakupata kuwa mpambe wa JK. Uchaguzi wa 1995 ndiyo alikuwa mpambe wa Mkapa na baada ya gazeti lake la The African kutoboa kashfa ya Hassy Kitine (in 1998), walikosana, kwani Mkapa hakutaka Ulimwengu awe anatoboa mambo ya kashfa ya ufisadi.

asante kwa mrejesho huu..Ni kweli Ulimwengu hajawahi kumsifu JK hata siku moja
 
Ulimwengu ni mnafiki tu, kwani JK alipoanza tu term yake Ulimwngu alikuwa mmoja wa wapambe wake kwa kusema kwa mara ya kwanza ndio anasikia Rais anakemea rushwa jukwaani baada ya Mwalimu Nyerere. Ni kwa sababu tu alikuwa na bifu na Mkapa!

Hah hah hah! "that one" you are all over the place, huku unauma kule unapuliza!
"Saluting new communications director of Dr Slaa"
 
binafsi nilizisoma zile barua za wazi za jeneral, na naweza mtetea. kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi akiwemo jeneral ushindi wa kikwete uionesha kama sasa nuru imewadia. kiasi kwamba hata jeneral akawa anadhani kazi yake ya uandishi wakuikosoa serikari kwamba sasa basi maana ukombozi umefika na ndio maana hata wakaamua kuliuza gazeti la Rai.
nilisoma barua ya kwanza mpaka ya mwisho yaani mwandishi alikuwa anaona kazi yake basi majibu yamepatikana baadaye jeneral alituomba radhi watanzania toleo la kwanza la Raia mwema. akaamua kurudi baada ya kuona mambo mdembwedo kila siku ikulu kuna sikukuu. waandishi aliowaachia akiwemo magid mjengwe maana ndiye aliyeachiwa kuandika Rai ya jenerala lakini majidi akanunuliwa na mafisadi.
kwa hiyo msamehe jeneral sababu aliweka matumaini yake katika sehemu isiyo na matumaini.

Akiri,

Ulichosema kuhusu mimi ( Maggid Mjengwa) ni UONGO MTUPU. Kama ni mwungwana uniombe radhi.
 
JK NA ULIMWENGU chungu kimoja ni sawa na Myahudi na Mpalestina kukaa nyumba moja au USA na ALCAIDA kwa ndege moja
 
Back
Top Bottom