Jenerali: Tanzania police keep shooting the messenger, but change is coming

Tatizo si mabadiliko, tusijidanganye na vita vya Somalia n.k . Mabadliko ni lazima, ni kama maji na mkondo wake hata ufanyeje yatapita tu. Hapa tatizo ni wale wanaoyazuia mabadiliko.

CCM wanatumia nguvu kuyazuia mabadiliko kitu ambacho kinapingana na asili ya binadamu! However long the night is, be sure the day is coming!

Mabadiliko ni lazima! Aluta Continua!
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

Mdau umesahau kwamba haki haiombwi bali hupiganiwa? Ukisubiri CCM ikugaie keki wanayokula kwa hiari yao utasubiri mpaka kiama-kumbuka maalim Seif na CUF hawakuomba mkuu wangu walipigana ndio maana na wao sasa wameingia serekalini na amani visiwani imetamalaki!
 
Thank u julimwengu. Wise analysis. It is a shame that hamad no longer defends protestors
 
They shall kill our bodies... but never our spirits!!!! Amandlah!!!
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?


You are a crack head
 
It should not be allowed to be misused by politicians who are running away from their own shadows simply because they know they have failed to deliver, and they have, quite honestly, lost it.

Jenerali Ulimwengu, chairman of the board of Raia Mwema newspaper, is a political commentator and civil society activist based in Dar es Salaam.

Tanzania Police is a gang of terrorists
 
Ulimwengu, kubenea, lioba, lwaitama, kibamba, mwanahalisi,viongozi wa dini, ria mwema, mwananchi, majira just to mention few chini ya nguvu ya umma wataikomboa nchi hii.
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

unavuta bangi?
 
You have said the truth jenerali.The actions of police forces to use brutal methods against a well organized and peaceful demonstration cannot be justified at all.The corps seems not to be not aware of fundamental human rights that allows peaceful assembly.It is time for our country to employ well educated and intelligent police personel who will be conversant with international laws, conventions, needs and demands of a contemporary society.If possible let the International Criminal Court (ICC) chief prosecutor Luis Moreno Ocampo send his team here in Tanzania to investigate and bring to justice all who have brutalized and killed innocent civilians who were just expressing their opinions peacefully.There should be no impurnity on this act of barbarism perpetrated by reckless and ruthless police forces.
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

Unachoongelea hapo juu ni Status Quo siyo change kama unavyodhani. Hakuna Changes za kumbembeleza mtawala halafu ukategemea yatakuja yenyewe.

Naomba uendeleze mifano zaidi hapa: Ghana ilianzia kwenye mapinduzi ya kijeshi na leo ni kioo cha demokrasia Afrika, Kenya wamepitia kwenye machafuko na sasa wana katiba mpya na mabadiliko ya kweli yanaendelea, Afrika Kusini kulikuwa na machafuko kutokana na ubaguzi laknini mabadiliko yaliyochochewa na vita ya Umkhonto we Sizwe yalishinda na leo wako huru, Angola kulikuwa na vita na leo wametulia wanajenga nchi, Msumbiji, Rwanda etc.

Hivyohivyo naweza nikaelezea orodha ndefu ya nchi za kiafrika ambazo zimepitia tafrani kuleta mabadiliko ya kweli. Wengine wamekwenda mbali zaidi na wengine bado wapo safarini.
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

Amani maana yake nini? ukitazama jamii ambayo utaita ina amani, ina sifa zipi? bila shaka haki kwa kiasi kikubwa inatawala katika jamii hiyo. hata mtu akikosa riziki yake, kama kaikosa kwa haki, yaani kutokana na sababu zinazoelezeka, hapo hakuna tatizo. lakini amani siyo kutokuwepo vurugu, mapambano ya maneno au namna nyingine. kuna wakati hapa Tanzania ungeweza kusema ilikuwa nchi ya amani. lakini sio hivi sasa. ukitazama katika TV au kusikiliza redio, utaona au kusikia mikasa mingi ambapo watu wanadhulumiwa nyumba, kiwanja, au mali, kwa sababu tu hawana "mtu mkubwa" wa kuwakingia kifua. ni jamii ambayo mwenye fedha ndio mwenye haki na sheria anaikanyaga. sasa ukiniambia amani ni huyu anayedhulumiwa akae kimya ili kusiwe na vurugu, hiyo siyo amani.

nikupe mfano mdogo. tuchukulie kwamba una mke na watoto. unapata taarifa kwamba mkeo anabakwa nyumbani kwako mwenyewe. unarudi kwa taharuki, unashuhudia jamaa anaendelea kutekeleza unyama huo. utasema kwamba yaishe kwa mazungumzo ili kusiwe na uvunjifu wa amani? uvunjifu wa amani ni pale mtu anachukua jukumu la kufanya unyama huo, na anautekeleza na kuruhusiwa afanye hivyo, na kurudia tena, na tena, with impunity. inabidi na wewe uoneshe kwamba upo, ili siku nyingine akifikiria kufanya unyama kama huo, ajiulize mara mbili. hapo sasa mtakuwa na amani ya kweli. inabidi tufike mahala mtawala aone kwamba hawezi kuleta uvunjifu wa amani na watu wakakaa kimya eti kuhifadhi amani, ambayo tayari ishavunjwa na mtawala au mtu yeyote mwingine anayeingilia haki za msingi za mtu au kikundi.
 
I like this piece from Jenerali Ulimwengu. It says it all. One thing they (police) need to understand is that by no means they will be able to stop this voice that is calling for the rights of the citizens! They should also be reminded that they are being used but but they have not been able to enjoy the frutits as their masters. We all see the kind of life they are leading and yet they fall for them. Anyways, i pray that they come to thir senses to know what they should fight for.
 
Changes katika dunia hazitosita. Tumesoma himaya za Mfalme Suleiman alietawala na kumiliki zaidi ya Mfalme yeyote yule. Tumesoma ya Kina Karun na Firaun na kina Shah (tumeshuhudia) na Mao na (tumeshuhudia) Nyerere (tumeshuhudia).

Mengi Tumeyasoma na mengi tumeshuhudia, hayo yote yamepita na yote yamebadilika.

Kwa sasa tunauhakika wa mabadiliko, tunauhakika kwa sababu hakuna mtawala au utawala utadumu milele.

Lakini changes tuzitakazo zije na ziondoke kiamani na bila tafrani. Hatutokuwa kwenye amani kama ilivyo Iraq au Afghanistan kwa kulazimisha changes.

Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

uncircumcized, political prostitute, stop this common nonsense, u can't stop CHANGE, foolish, madudu yote haya yanaendelea huoni?
pig
 
What really pisses me off is the fact that they are not doing the job that they are supposed to anyway. At this moment security in the major cities in Tanzania is an issue. In Dar es salaam majambazi wanauwa watu, silaha zimetapakaa na polisi wanashirikiana na hawa watu. Lakini kwenye kupiga wananchi wako mstari wa mbele. Ni kinyume na utaratibu kutumia silaha za moto dhidi ya wananchi wasio ata na manati. Shame on Said Mwema, lingekuwa li Mahita ambalo limeishia darasa la 4 tungeelewa... Kwanza it puzzles me greatly how someone as intelligent as Mkapa could put someone like Mahita as IGP..Africa..Africa...
 
Jenerali Twaha Ulimwengu had earned my respect and admaration for his courage and setting clear standard for critical and analytic journalism, Everytime Jenerali put his editorial it makes me wonder why we dont have atlest 10 jounalist of Ulimwengu calibre?

However,ministry of home affairs is too big. It needs to be reorganized. I can't see the minister and his deputy runs the dept of police, dept of prison, immigration, and police traffic. They need to form/create the ministry of motor vehicle that will focus on the vehicle registration, issue drivers licenses, and people IDs. The immigration, custom, and boarder patrol should be under one ministry. Police and fire fighters should be moved to municipal authority and manage by the municipal councils and the boss of police in a respective region should be the Moyor or council chairman because this are direct people representative if the police mess up the mayor should feel the heat from wananchi, this system is very efficient in the USA and other part of the world.

Vile vile, the rules of laws? Rationale, I argue that our education in general need to be changed and modernized the law enforcement this include raise the standards for the police officers requirements such as individual who want to the police force and army forces should have undergraduate degree or master degree passed grades and division two or three, Vyuo vya polisi vihakikishe kuwa kwenye mafunzo yao kama mtu hana degree ya kwanza basi awekewe utaratibu wa kumwezesha ku attain the first degree while on job probation, once he get the degree then ndo anakuwa confirmed as a qualified police officer.
 
Jenerali ni mtu ambaye hakuathirika sana na itikadi za dini au siasa anazoamini na mawazo yake hayakuathiriwa na upande wowote. Habari yake hiyo hapo juu imesheni ukweli unaomfaa kila mtu mwenye uraia wa Tanzania. Ni habari inayomfaa hata mjinga asiyejitambua kumfumbua macho kutazama na kuona nuru. Mawazo yake yanaweza kuponya shida ya watu wengi na mtizamo wake unabeba hekima aliyojaaliwa na Muumba. Ama kweli Jenerali umejitofautisha na wajinga wanaoweza kuleta maangamizi kwa jamii kwa hoja zao na mitizamo yao hasi na fupi. Hongea mzee...
 
Uganda ni mfano wa karibu, changes zililazimishwa na mpaka leo zaidi ya miaka thalathini hakuna amani. Somalia tumeona changes za kulazimisha lakini mpaka leo hakuna amani.

Jee, na hizo changes za kulazimisha ndio tunazitakia Tanzania?

With all due respect, Zomba your thinking has not only left me perplexed & disappointed but also totally wondering at the magnitude of danger Tanzania will find herself in if we have Tanzania youth thinking that "change will come by itself at its own pace whenever it feels like it" no matter how terrible a situation they find their country in, just in the name of "peace"! I think that thinking is TOTALLY CHEAP (again with due respects).

If I may take you back to science and the dynamics of change, Newton's first law of motion states.."Every body remains in a state of rest or uniform motion unless it is acted upon by an external force". This means that in the absence of external pressures, the people in power will maintain their status quo time and time again.

Your school of thought is trying to establish that whatever efforts (by individuals, civil society, political parties, religious organizations) to fight for their liberty and betterment are "a disruption of peace" until the "big bosses" decide that they are tired of exploiting and marginalizing the people and give them true freedom.

If I may remind you:

i/ Independence of Africa and other colonies in the world did not come by itself until the people lead by their leaders fought (armed war or political war) and the colonial powers had to surrender (that includes Tanzania). Apartheid regime in South Africa was so strongly fought against until South Africans reaped rewards of freedom.

ii/ There would not be the United States of America (one of the most powerful nations in the globe) without the American Revolution, where thirteen colonies in North America joined together to break free from the British Empire, combining to become the United States of America, or a prosperous and peaceful French without the famous French Revolution and the story continues for many other parts of the world.

iii/Refer to the Bible (somebody educate me if the story is also reflected in the Quran) how the King of Egypt (Pharaoh) was determined to keep Israelis slaves in Egypt despite plea from Moses the prophet to release them until God intervened by plaguing the country and people of Egypt with disasters, that he let them go!

It is important to maintain peace and order when lobbying for our fundamental rights from the government but it is stupid to just sit and wait for nature to take its course when the people in power turn a deaf ear. By the way, don't forget that CCM and their leaders are not the only Tanzanians with right to lead the country!

WAKE UP YO!
 
Back
Top Bottom