minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
mwanazuoni jenerali anatuambia:
"Tunachagua kama vipofu, kisha tunalalama kama vichaa. Sasa tuamue: ama tuchague viongozi wetu kwa makini, au tukae kimya wakati wakitunyanyasa. Wachagua hovyo wasiwe wasema hovyo wakitendewa hovyo."
:dance: wakuu hii imekaaje?
Source: Raia Mwema
"Tunachagua kama vipofu, kisha tunalalama kama vichaa. Sasa tuamue: ama tuchague viongozi wetu kwa makini, au tukae kimya wakati wakitunyanyasa. Wachagua hovyo wasiwe wasema hovyo wakitendewa hovyo."
:dance: wakuu hii imekaaje?
Source: Raia Mwema