Kwa mtazamo wangu, napenda kumshukuru na
kumpongeza Jemedar Jairo D. kwa msaada wa
kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa
kuzichangisha idara zake za wizara za nishati
na madini kupitia gamba jepesi Ngeleja, kwa
mahesabu ya haraka ni kwamba tukitumia
the so called JAIRO FORMULAE
2DAYS =EANRS 1BILION COLLECTED BY 1 MINISTRY
then 40 ministries=will collect 40billions
kwa mahesabu ya haraka tukiziambia hizi wizara
zikusanye pesa WITH 3 SEMESTERS PER ANNUM
then kwa kila mwaka hizi pesa tutaziweka kwenye
project ya kuchimba bwawa kubwa la kuzalisha
umeme nadhani kwa miaka mitano hili bwawa
litakuwa limekamilika na tatizo la umeme
litakuwa limekwisha, naomba Gamba kuu atumie fomula hii kuiokoa nchi kwenye gza
naomba kuwasilisha
kumpongeza Jemedar Jairo D. kwa msaada wa
kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa
kuzichangisha idara zake za wizara za nishati
na madini kupitia gamba jepesi Ngeleja, kwa
mahesabu ya haraka ni kwamba tukitumia
the so called JAIRO FORMULAE
2DAYS =EANRS 1BILION COLLECTED BY 1 MINISTRY
then 40 ministries=will collect 40billions
kwa mahesabu ya haraka tukiziambia hizi wizara
zikusanye pesa WITH 3 SEMESTERS PER ANNUM
then kwa kila mwaka hizi pesa tutaziweka kwenye
project ya kuchimba bwawa kubwa la kuzalisha
umeme nadhani kwa miaka mitano hili bwawa
litakuwa limekamilika na tatizo la umeme
litakuwa limekwisha, naomba Gamba kuu atumie fomula hii kuiokoa nchi kwenye gza
naomba kuwasilisha