tafakari kali
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 211
- 39
Wanajamii Tafakar kali nimeingia sasa kwa mada mbalimbali za kuvuta hisia hasa maeneo ya siasa,na jamii hapa ndo maala pake, hoja za watu wa kawaida kitaa na mitazamo yetu uswazi,hapa huta hitajika kuwa msomi kujadili mada zangu ni swala la ufahamu wa kitaa ambao hasa wengi ndiko tuliko,hoja za moto,upembuzi wa kina na tafakari kali. Hapa wanakitaa jitupeni kusema ya moyoni kutoka kitaa.