Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Jamaa anayetuhumiwa kumbaka Miss Tanzania, ambaye ni mwanamitindo Patrick Trey, hatimaye amepandishwa mahakamani mchana huu na kusomewa mashitaka yake ya ubakaji katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu. Akiingia mahakamani hapo mapema leo, Trey alivaa kitambaa mdomoni na puani ili kuficha sura yake. Awali alionekana akipewa kibarua cha kumwagia maji ili kusafisha choo cha mahabusu mahakamani hapo. kesi imeahirishwa na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana...mkanda ufuatao, unaonesha picha ilivyokuwa:
..Michael Jackson style
...kichwa chini
..mawazo kibao
...chini ya ulinzi
...akifanya usafi wa choo
..Michael Jackson style
...kichwa chini
..mawazo kibao
...chini ya ulinzi
...akifanya usafi wa choo