Acha jazba! mtu akitoa maoni siyo mjinga mjibu kwa hojaAcha ujinga wewe Mungu hakusema tuheshimu sheria za kijinga na kijahili hivi unadhani ni sawa kwa sista wa roman akiambiwa atoe kilemba chake? au singa singa avue kilemba chake? mbona nimrod mkono anaingia mahakamani na tarbush yake? tatizo mnalijua mahakimu wengi hawana uelewa.........................
Hapa wasiopenda amani watakuwa wamepata mtaji! Subirini!
Kama anavyofanya Dr. Slaa na CHADEMA yake sio?
jee watu wanuliza ndio sheria au jazba za kidini za jaji? kama hakuna sheria hiyo na jaji ambae kwa jina ni mkristo haimaanishi kwamba amaetumia imani yake? jee mbona mrema anaingia na kofia hiyo hiyo hataujasikia? jee hii sheria ni mpya? kwani tuapte uhuru hatujasikia sherria kama hizi. kuwa mple unapojadili hoja
usilete kizunguzungu. hoja kafungwa kwa kuvaa kofia. fullstop.
Husisemee nafsi za wangine.
kitambaa cha kichwani na kofia ni vitu tofauti kabisaaaaaNajiuliza kama angekuwa ni Sista na amevaa shera angeamulia kuitoa? Na je angekuwa mwana mama mwenye baibui angeitoa? Nadhani kuna jambo hapa!
mzeze kwa maana mrema anaponingia na kibaraghashia huwa mdini? jee jaji katoka vatican karibuni? mbona hatujasikia kitu kama hicho tz? usiichukie kitu mpaka kila mtu akakujua moyoni mwako, ni hatari kwa tiafa hili.