Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Wana JF, nimesikia kuwa kuna wanachama wa CCM wametakiwa wajiondoe katika chama chao ikiwa ni moja ya hatua ya chama chao kujisafisha, mimi kwa mtizamo wangu nauliza ni lini mwenyekiti wao Dr,Dr,Dr, Alhaji, captain Jakaya Mrisho Kikwete atapewa barua ya kujiondoa au kuondoka ndani ya CCM ili chama kijisafishe kwa kuwa yeye ametajwa katika scandal nyingi za kifisadi. Kwa kumbukumbu zangu ni kuwa ametajwa katika meremeta, na IPTL. Nawasilisha.