Jehanamu ipo?

Hayo unayosema kiranga yalishasemwa tangu zamani. Tutakusadiki tu ikiwa wewe ni mtoto mchanga. Tutajie umri wako kwanza.


Matthew 11:25-26 Ninakushukuru Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, na ukawafunulia watoto wachanga. ...



Mat 11-15
11Nawaambieni kweli kwamba kati ya watu wote waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu zaidi ya Yohana Mbatizaji. Lakini hata hivyo aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkuu kuliko Yohana. 12Tangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mungu umekuwa ukishambuliwa vikali; na watu wenye jeuri wanajaribu kuuteka kwa nguvu. 13Kwa maana manabii wote na sheria walita biri mpaka wakati wa Yohana. 14Na kama mko tayari kusadiki uta biri wao, basi Yohana ndiye Eliya ambaye kuja kwake kulitabiriwa. 15Mwenye nia ya kusikia na asikie.
 
Ukitafuta vithibitisho logical au vya kisayansi katika mambo ya dini, kwa hakika dini zote zitakushinda na utabaki asiyeamini.

Na kwa kukosa dini, utakosa faraja ambayo binadamu wa kawaida anaihitaji.
 
Kunipa pole ni kuwa condescending, kwa sababu unaelewa kwamba akili yako ilipoishia ndipo yangu ilipoanzia mimi ndiye naona nikupe pole wewe unayeamini katika mbingu ambayo haiyumkiniki wala kuthibitishika.

Mimi naelewa kwamba mbingu ni hadithi, unless kama unaongea "mbingu" in the sense ya anga za mbali, ambayo iko kwenye spacetime yetu ukiwa na spaceship yenye fuel ya kutosha na muda wa kutosha inaweza kufika. Nyota ni sehemu ya ulimwengu halisi na zinaweza kuonekana na kupimwa kwa hiyo najua zipo. Mojawapo ni hili jua letu linalotupa mwanga na joto.

Hiyo mbingu ya kidini ni hogwash, hoopla, Hegelian hyperbole's hyperbole, hot air, hope for the hohehahe hoi-polloi and hybernating Hottentonts, hued by the hoity toity highfalutin high-priests and their hypo-psycho hellbent hallucinating hobo's.

Mwalimu wangu ni experience, kama wanavyosema "experience is the best teacher".

Siku ukikutana na Yesu uso kwa uso akakuuliza kwanini hukunipa mimi nafasi katika moyo wako? utajibu nini?
 
Watu badala ya kumfahamisha Kiranga wanampa maneno ya kumtisha.... Aghhh!
 
Siku ukikutana na Yesu uso kwa uso akakuuliza kwanini hukunipa mimi nafasi katika moyo wako? utajibu nini?

Hili swali zuri sana, nitamjibu kwa sababu hukunipa uwezo wa kukujua.

Kama mungu ndiye mtoa vyote, mpaka uwezo wa kumuelewa yeye, ataweza kunilaumu kama sitamuelewa ?

Nimejaribu kwa uwezo wa akili zangu zote kuamini kwamba kuna mungu lakini kila nikijaribu nashindwa, maswali na maswala kibao yananionyesha hakuna mungu.
 
Ukitafuta vithibitisho logical au vya kisayansi katika mambo ya dini, kwa hakika dini zote zitakushinda na utabaki asiyeamini.

Na kwa kukosa dini, utakosa faraja ambayo binadamu wa kawaida anaihitaji.

Kumbe kwenye dini mnafuata faraja? Feel good psychology? Ili mjidanganye kwamba huko juu kuna big father anawalinda na ku take care of everything, all you have to do is pray, ndicho mnachofuata kwenye dini?

Kama faraja inatokana na uongo mimi siitaki, ni bora unipe ukweli mchungu kwamba hamna mungu na maisha yangu inabidi niyaweze mwenyewe kuliko kunipa uongo mtamu kwamba kuna mungu anayependa na kujali watu.

Mungu gani anayependa watu anaua watoto wadogo wasio na hatia kwa mamilioni?
 
Hamna mungu, hamna shetani, hamna mbingu, hamna moto, hamna maisha baada ya kifo, kila kitu kipo hapahapa duniani, ukifa ndiyo mwisho wa mchezo.

Kama unabisha nihakikishie vinginevyo.
 
NAOMBENI MAJIBU WADAU KWELI JEHANAMU IPO?KAMA UPO INTERESTED ,THANK YOU.Biblia inaeleza waziwazi kwamba mtu anapokufa, sekunde ileile ya kufa kwake anakabiliwa na hukumu. Tunasoma katika WAEBRANIA 9:27, ”Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu?

Hii concept ya kifo na hukumu mara moja inaeleweka vizuri sana kama utaiangalia katika mtazamo huu! Mtu akifa hajui neno lolote, kwa yeye hana time wala space! Wakati walio hai wanaendelea kuhebu nyakati yeye hajui lolote! Mtunga Zaburi anasema wanae wakipata aibu yeye wala hajui! Kwa hiyo basi punde atakapokufa na mda atakao letwa mbele ya hukumu ni kama sekunde tu kwake! Hebu fikiri unapolala fofofo unaweza uhesabu mda unaopita hapo katikati? La hasha!
Paulo anasema
1 Wakorintho 15:51-55​
. Angalieni, na waambia ninyi siri, hatutalala sote, lakini sote
tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho;

maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika.
 
Hii concept ya kifo na hukumu mara moja inaeleweka vizuri sana kama utaiangalia katika mtazamo huu! Mtu akifa hajui neno lolote, kwa yeye hana time wala space! Wakati walio hai wanaendelea kuhebu nyakati yeye hajui lolote! Mtunga Zaburi anasema wanae wakipata aibu yeye wala hajui! Kwa hiyo basi punde atakapokufa na mda atakao letwa mbele ya hukumu ni kama sekunde tu kwake! Hebu fikiri unapolala fofofo unaweza uhesabu mda unaopita hapo katikati? La hasha!
Paulo anasema
1 Wakorintho 15:51-55​
. Angalieni, na waambia ninyi siri, hatutalala sote, lakini sote
tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho;

maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika.

Hivi ni kwa nini mtu uamini neno kwa sababu tu limeandikwa katika biblia au Quran? Ukitilia maanani kwamba hivi vitabu vina makosa na mikanganyo kibao.
 
Hivi ni kwa nini mtu uamini neno kwa sababu tu limeandikwa katika biblia au Quran? Ukitilia maanani kwamba hivi vitabu vina makosa na mikanganyo kibao.

At that same time Jesus was filled with the joy of the Holy Spirit, and he said, "O Father, Lord of heaven and earth, thank you for hiding these things from those who think themselves wise and clever, and for revealing them to the childlike. Yes, Father, it pleased you to do it this way
Luke 10: 21
 
At that same time Jesus was filled with the joy of the Holy Spirit, and he said, "O Father, Lord of heaven and earth, thank you for hiding these things from those who think themselves wise and clever, and for revealing them to the childlike. Yes, Father, it pleased you to do it this way
Luke 10: 21

Mimi nakuuliza ni kwa nini niamini maneno ya biblia, wewe unanipa maneno ya biblia, hujajibu swali langu.
 
Mimi nakuuliza ni kwa nini niamini maneno ya biblia, wewe unanipa maneno ya biblia, hujajibu swali langu.

Kiini cha Ukirsto Bwana Kiranga ni imani, here is the meaning of faith in biblical context "Now, faith is being sure of what we hope for, and certain of what we do not see" Heb 11:1. if you are looking for scientific proof Im afraid you are in the wrong place! Eveything in the universe is guided by principle, principle ya ukiristo ni imani kwanza, then from imani dio unaweza kuendelea. ukija hapa na science yako isiyo na majibu ya uhakika hata kuhusu cell moja tu ya "agrobacterium tumefaciens" licha ya tafiti za miongo kadhaa, kumchunguza Mungu is virtualy impossible!
Ushauri wangu fanya kazi usiku na mchana katika maabara yako ugundue hata dawa ya ukimwi na usolve matitizo yako kwa sayansi zako, halafu waache wakristo wamwombe Mungu wao wanaomwani! mpaka hapo we good right?
 
Kiini cha Ukirsto Bwana Kiranga ni imani, here is the meaning of faith in biblical context "Now, faith is being sure of what we hope for, and certain of what we do not see" Heb 11:1. if you are looking for scientific proof Im afraid you are in the wrong place! Eveything in the universe is guided by principle, principle ya ukiristo ni imani kwanza, then from imani dio unaweza kuendelea. ukija hapa na science yako isiyo na majibu ya uhakika hata kuhusu cell moja tu ya "agrobacterium tumefaciens" licha ya tafiti za miongo kadhaa, kumchunguza Mungu is virtualy impossible!
Ushauri wangu fanya kazi usiku na mchana katika maabara yako ugundue hata dawa ya ukimwi na usolve matitizo yako kwa sayansi zako, halafu waache wakristo wamwombe Mungu wao wanaomwani! mpaka hapo we good right?

Aliyeuliza hajauliza kama Jehanam ipo kwenye biblia, au kwamba unaamini kama Jehanam ipo.

Thread ina head "Jehanamu ipo ?"

kaanza thread kwa kuuliza

NAOMBENI MAJIBU WADAU KWELI JEHANAMU IPO?KAMA UPO INTERESTED ,THANK YOU

Unachekesha kwa kuiita sayansi "isiyo na majibu wala uhakika" wakati nimeomba dini inipe uhakika wa kuwapo mbingu, mungu, moto au maisha baada ya kifo, lakini hamna mtu anayeweza kunipa uhakika.

Imani by definition ni kitu kisichokuwa na uhakika, sasa unanichekesha unapoikandya sayansi kwamba haina uhakika wakati imani definition yake ni vitu visivyo hakika.

Dini zote by definition ni frauds, zinataka uamini bila kuchunguza, bila kuhakikisha, bila maswali.

Wengine kuuliza na kuchunguza ni lazima.
 
"Now, faith is being sure of what we hope for, and certain of what we do not see" Heb 11:1

This is a ridiculous contradiction.

Hope means you are not sure of something. I hope it will rain today. You cannot say I hope it will rain today if you know for sure it will rain, in that case you say "I know it will rain". So when you say "Faith is being sure what we hope for" this means being sure of something you are not sure about. That is sure some guarantee.

Certain of what you cannot see, that is some certainty.
 
kula ugali ulale, hii thread si type yako! wewe unapikika chungu kimoja na kina Kingunge Ngombalemwiru

Hahahah,

Aliyetoa maada kaalika wote wenye interest, wala hakusema type gani wachangie na type gani wasichangie. Kwa hiyo wa kula ugali na kulala ni wewe uliyeshindwa hoja unataka kuleta utemi.
 
This is a ridiculous contradiction.

Hope means you are not sure of something. I hope it will rain today. You cannot say I hope it will rain today if you know for sure it will rain, in that case you say "I know it will rain". So when you say "Faith is being sure what we hope for" this means being sure of something you are not sure about. That is sure some guarantee.

Certain of what you cannot see, that is some certainty.

Ona sasa unaanza hope tena wakati sisi tunazungumzia faith! Why cant you just go to your nearby bar and get drunk! If cant even vividly distinguish between hope and faith what kilaza are you?
Hata hizo proof za kisayansi utazielewa kweli?
 
Ona sasa unaanza hope tena wakati sisi tunazungumzia faith! Why cant you just go to your nearby bar and get drunk! If cant even vividly distinguish between hope and faith what kilaza are you?
Hata hizo proof za kisayansi utazielewa kweli?

"Now, faith is being sure of what we hope for, and certain of what we do not see" Heb 11:1

Wewe mwenyewe ndiye uliyeileta hope, sasa unataka kuikimbia. Ntakunyonga kwa kamba yako mwenyewe.
 
Kaazi kweli, hapa patamu!
Wakati Karanga ananyongwa kwa kamba zake mwenyewe, mie nashangilia kwa 'praiz ze Lord'
 
Back
Top Bottom