Jee watanganyika wanapenda kuikalia Zenji kimabavu?

Mimi naona ni vizuri kuwashirikisha wananchi wa nchi zote mbili katika kuamua kama wanataka kuungana ama la.

Lakini kabla ya kufanya hivyo kwa sababu Muungano uliopo ni batili na upo kinyume cha sheria ni vizuri kwanza kuuvunja huu muungano kisha kila nchi iwaulize wananchi wake kama wanataka muungano.

na kama watapata majibu positive basi utaundwa kwa kufuata taratibu za kisheria kwa ridhaa za wananchi wa nchi zote.

Lakini haiwezekani kabisa kuwauliza wananchi wa nchi zote mbili wakati tumeungana tena kimabavu mabavu.
 
Mimi naona ni vizuri kuwashirikisha wananchi wa nchi zote mbili katika kuamua kama wanataka kuungana ama la.

Lakini kabla ya kufanya hivyo kwa sababu Muungano uliopo ni batili na upo kinyume cha sheria ni vizuri kwanza kuuvunja huu muungano kisha kila nchi iwaulize wananchi wake kama wanataka muungano.

na kama watapata majibu positive basi utaundwa kwa kufuata taratibu za kisheria kwa ridhaa za wananchi wa nchi zote.

Lakini haiwezekani kabisa kuwauliza wananchi wa nchi zote mbili wakati tumeungana tena kimabavu mabavu.

Hichi ndio nilichokuwa nakizungumza, kama haiwezekani kumuuliza mama kama anamtaka mwanawe?Kwa maana ya kumuuliza Tanganyika kama anamtaka mwanae Zenji wakati mtoto huyo yuko chini ya miguu....umuulize kama anataka kubaki ndani ya nyumba au kutoka nje?....kwanza mwache akaishi kwenye chumba nje...ajisikie kama yuko huru,na kumuonesha kama anakaribishwa kuunda uhusiano wowote ule kama utakuwa wakushare "bati la nyumba" au kununua chakula pamoja...hilo hatuwezi kujua, litatemeana na matokeo ya mama na mtoto kufanya maamuzi ya kuishi nyumba tofauti!

Hatari ya kuendelea kuziba viraka kwa kura au kurekebisha katiba katika muungano huu, ni kuwa wazanzibari bado watahisi kama wamelazimishwa.Hapa nasema wazanzibari kwasababu wao ndio wenye nchi ndogo kushinda watanganyika.Hii ni fact kabisa, huwezi kusema zenji imeikalia kimabavu Tanganyika kwasababu zenji haina nguvu za kijeshi za kufanya hivyo.Na kuvunja muungano si jambo baya, hata Nyerere alisema siku wazanzibari wakisema hawataki basi ndio hawataki hawajalazimishwa....lakini maneno haya yanapingana na katiba za CCM, sasa sijuwi alikusudia nini dictator huyo!

Anyways, muungano na elementi za ujamaa zitakuwa bado ni mizimu ya Nyerere ambayo bado inaendelea kutula bila ya kutumaliza...:confused:
 
Mimi naona ni vizuri kuwashirikisha wananchi wa nchi zote mbili katika kuamua kama wanataka kuungana ama la.

Lakini kabla ya kufanya hivyo kwa sababu Muungano uliopo ni batili na upo kinyume cha sheria ni vizuri kwanza kuuvunja huu muungano kisha kila nchi iwaulize wananchi wake kama wanataka muungano.

na kama watapata majibu positive basi utaundwa kwa kufuata taratibu za kisheria kwa ridhaa za wananchi wa nchi zote.

Lakini haiwezekani kabisa kuwauliza wananchi wa nchi zote mbili wakati tumeungana tena kimabavu mabavu.
Nakubaliana na wewe Dokta Hamza kwa 100%. Lazima tuujenge muungano huu tunavyopenda na itakuwa rahisi sana kuliko kuukarabati wakati msingi wake mbovu.
 
Mimi naona ni vizuri kuwashirikisha wananchi wa nchi zote mbili katika kuamua kama wanataka kuungana ama la.

Lakini kabla ya kufanya hivyo kwa sababu Muungano uliopo ni batili na upo kinyume cha sheria ni vizuri kwanza kuuvunja huu muungano kisha kila nchi iwaulize wananchi wake kama wanataka muungano.

na kama watapata majibu positive basi utaundwa kwa kufuata taratibu za kisheria kwa ridhaa za wananchi wa nchi zote.

Lakini haiwezekani kabisa kuwauliza wananchi wa nchi zote mbili wakati tumeungana tena kimabavu mabavu.

Muungano ni batili vipi wakati umepitishwa na wawakilishi wa wananchi katika bunge na baraza la wawakilishi? Au unataka ku dispute hili?

Kama unakubali referrendum kubali, kama unaikataa ikatae, do not sit on the fence and try to be two faced about it.
 
Muungano ni batili vipi wakati umepitishwa na wawakilishi wa wananchi katika bunge na baraza la wawakilishi? Au unataka ku dispute hili?

Kama unakubali referrendum kubali, kama unaikataa ikatae, do not sit on the fence and try to be two faced about it.


1.Tuonyeshe hiyo karatasi ya muungano iliyosainiwa na JKN na Karume?
2.Tuonyeshe japo picha tu inayoonyesha JKN na Karume wakisaini hiyo hati ya muungano?

3.Tuonyeshe hata picha ya kutia mchanga ambapo JKN na karume wapo wanatia mchanga.

usitutie changa la macho. alikuwa makubaliano ya JKN na Karume bila kuhusisha wananchi wao na ndio maana mpaka leo kuna mushkeri mkubwa kuhusu huu muungano.
 
Muungano ni batili vipi wakati umepitishwa na wawakilishi wa wananchi katika bunge na baraza la wawakilishi? Au unataka ku dispute hili?

Kama unakubali referrendum kubali, kama unaikataa ikatae, do not sit on the fence and try to be two faced about it.
Wewe sem kweli na sio kukurupuka. Kipi kilianza Muungano kisha bunge au Bunge kujadili ndio Muungano.

Kifupi pitia vizuri historia utaona Kwanza yalianza makubaliano baina ya Nyerere na Karume kisha wawakilishi wa wananchi walifuata.

Kisheria ilitakiwa lianze wazo kisha wawakilishi wa wananchi walijadili na kukubaliana kisha ndio liende kwa rais kwa ajili ya majumuisho na utekelezaji.

Muungano wa Tanganyika na zanzibar ulienda kinyume chake.
 
Hakuna mzanzibari au mtu yeyote ambae anataka utaifa wake ufe, Tanganyika ndio nchi ya mwanzo duniani kukimbilia utaifa wake ufe.Na kwanini hamutaki taifa lenu la Tanganyika?

Sikumbuki kusema nataka muungano, actually mimi ni mmoja wa activist ambae nasimamia kwa nguvu zangu zote ili muungano huu uvunjike.Naamini kama napigania uhuru kama babu yako Nyerere alivyokudanganyeni kuwa kapigania uhuru, wakati kapewa uhuru kwa karatasi...hajapigania uhuru mmoja!

Tena babu yenu Nyerere kawapumbazeni sana nyie miaka 22 anakulisheni ugali wa njano, huku akiwaandikieni Azimio la Arusha...

Sasa unataka kuvunja nini? Get a life!
 
Barubaru,

..kwa hali ilipofikia sasa hivi Referendum ndiyo njia muafaka ya kuamua Muungano uendelee au usitishwe.

..inawezekana waasisi wa Muungano walikosea, lakini hiyo isiwe sababu ya kutowasikiliza wananchi wanataka nini wakati huu.

..suala hili linapaswa kwenda kwa WANANCHI watoe uamuzi wa mwisho.

NB:

..kwa upande mwingine nashangazwa na watu kama nyinyi ambao mna makazi na jamaa pande zote za Muungano, lakini mna chuki kubwa sana na Muungano huu.
 
Hichi ndio nilichokuwa nakizungumza, kama haiwezekani kumuuliza mama kama anamtaka mwanawe?Kwa maana ya kumuuliza Tanganyika kama anamtaka mwanae Zenji wakati mtoto huyo yuko chini ya miguu....umuulize kama anataka kubaki ndani ya nyumba au kutoka nje?....kwanza mwache akaishi kwenye chumba nje...ajisikie kama yuko huru,na kumuonesha kama anakaribishwa kuunda uhusiano wowote ule kama utakuwa wakushare "bati la nyumba" au kununua chakula pamoja...hilo hatuwezi kujua, litatemeana na matokeo ya mama na mtoto kufanya maamuzi ya kuishi nyumba tofauti!

Hatari ya kuendelea kuziba viraka kwa kura au kurekebisha katiba katika muungano huu, ni kuwa wazanzibari bado watahisi kama wamelazimishwa.Hapa nasema wazanzibari kwasababu wao ndio wenye nchi ndogo kushinda watanganyika.Hii ni fact kabisa, huwezi kusema zenji imeikalia kimabavu Tanganyika kwasababu zenji haina nguvu za kijeshi za kufanya hivyo.Na kuvunja muungano si jambo baya, hata Nyerere alisema siku wazanzibari wakisema hawataki basi ndio hawataki hawajalazimishwa....lakini maneno haya yanapingana na katiba za CCM, sasa sijuwi alikusudia nini dictator huyo!

Anyways, muungano na elementi za ujamaa zitakuwa bado ni mizimu ya Nyerere ambayo bado inaendelea kutula bila ya kutumaliza...:confused:

Unfortunately your argument carries neither legal merit nor precedent.

Quebec watu walitaka kujitenga na Canada kwa grievances kama hizi za Wazanzibari, likapigwa referrendum, wakakubali narrowly kubaki Canada.

Just to give you one example.
 
Wewe sem kweli na sio kukurupuka. Kipi kilianza Muungano kisha bunge au Bunge kujadili ndio Muungano.

Kifupi pitia vizuri historia utaona Kwanza yalianza makubaliano baina ya Nyerere na Karume kisha wawakilishi wa wananchi walifuata.

Kisheria ilitakiwa lianze wazo kisha wawakilishi wa wananchi walijadili na kukubaliana kisha ndio liende kwa rais kwa ajili ya majumuisho na utekelezaji.

Muungano wa Tanganyika na zanzibar ulienda kinyume chake.

Mbona Waziri Mkuu anateuliwa na rais na kisha anapitishwa na bunge, ina maana si halali?

Unacgho dispute ni nini sasa? Kwamba wale wawakilishi wa Zanzibar waliopitisha muungano hawakuwa wawakilishi au nini?

Kama muungano haukuwa halali kwa nini waliupitisha sasa? Wawakilishi walivyopitisha maana yake watu wa Zanzibar waliupitisha.

Kwa msingi huu hata hiyo referrendum mnaweza kunyimwa kwa msingi wa kwamba haijaombwa na watu wa Tanzania, all CCM has to do is bring the motion kwenye parliament na baraza la wawakilishi halafu kui shoot down huko, itaonekana ni ya wachochezi wachache na ma CUF wao.

Tumia akili, usibwabwaje kwa unazi. Baraza lenu lenyewe limepitisha sasa unakuja kulalama eti ooh, ililetwa top down, mbona bajeti zinaletwa top down na zinapitishwa, nazo haramu zile?

Acha longolongo, umasikini wetu wala hautyokani na muungano.Mimi nataka muungano upigwe chini ili muende zenu mbele kwa mbele mkose kutulaumu. Sasa sijui mtavunja uzanzibari nao wapemba waende zao na Waunguja, kutoka hapo vile visiwa vidogodogo vyote navyo vitataka kuwa vinchi, mwishowe kila famila iwe na rais wake pamoja na bendera.

Nyie wengine ubishi na ulalamishi asili yenu, na sie tushachoka hatuutaki muungano, vunja hata kesho, vunja na tuone kama tutau miss.

Sanasana mnachukua mgao wetu tu pamoja na kujaza vyuo vya elimu ya juu.Na mkivunja muungano vyuoni kote tunawatoza ada za international students, kama mtakubaliwa at all na vi affirmative action program mnavyovitegemea, na wote mliopo mawizarani na BOT fukuzilia mbali within 48 hours muwe msharudi Chake Chake na Tumbatu huko mkacheze na magofu na tumbili.

Hamna adabu kabisa, mtu Nyerere baba wa watu kawasitirini kuwapa muungano uliokuwa lopsided in your advantage despite your small size, wakati angeweza kuwa annex tu kama Emperor Selassie alivyo i annex Eritrea, leo mnaona mnaonewa.Mauzauza haya ya "mkataa pema pabaya panamwita"
 
1.Tuonyeshe hiyo karatasi ya muungano iliyosainiwa na JKN na Karume?
2.Tuonyeshe japo picha tu inayoonyesha JKN na Karume wakisaini hiyo hati ya muungano?

3.Tuonyeshe hata picha ya kutia mchanga ambapo JKN na karume wapo wanatia mchanga.

usitutie changa la macho. alikuwa makubaliano ya JKN na Karume bila kuhusisha wananchi wao na ndio maana mpaka leo kuna mushkeri mkubwa kuhusu huu muungano.

Haihitajiki hati kuwaona watu barabarani au majumbani kwamba wana uhusiano.

Haihitajiki pia kualika umati mkubwa kushuhudia kwamba mmeoana.

Utaona vitendo vya hao wawili ndio utabaini kwamba wana uhusiano.

AAK alikua anashirikiana sana na JKN mpaka alipofariki kwahio hio nayo ni ushahidi.

Na hata hivyo kama mmezidiwa kwanini hamuandamani mkadai haki yenu.

Au kwanini msifuate mfano wa East Timor
 
Haihitajiki hati kuwaona watu barabarani au majumbani kwamba wana uhusiano.

Haihitajiki pia kualika umati mkubwa kushuhudia kwamba mmeoana.

Utaona vitendo vya hao wawili ndio utabaini kwamba wana uhusiano.

AAK alikua anashirikiana sana na JKN mpaka alipofariki kwahio hio nayo ni ushahidi.

Na hata hivyo kama mmezidiwa kwanini hamuandamani mkadai haki yenu.

Au kwanini msifuate mfano wa East Timor

Mimi mashaka yangu hawa hawachelewi kuanza kujilipua mitaa ya Kariakoo, si dini yao inawaruhusu kudai hakkki?

Wachieni tu waende zao, kwanza hizi ndizo habari za kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.
 
Mbona Waziri Mkuu anateuliwa na rais na kisha anapitishwa na bunge, ina maana si halali?

Unacgho dispute ni nini sasa? Kwamba wale wawakilishi wa Zanzibar waliopitisha muungano hawakuwa wawakilishi au nini?

Kama muungano haukuwa halali kwa nini waliupitisha sasa? Wawakilishi walivyopitisha maana yake watu wa Zanzibar waliupitisha.

Kwa msingi huu hata hiyo referrendum mnaweza kunyimwa kwa msingi wa kwamba haijaombwa na watu wa Tanzania, all CCM has to do is bring the motion kwenye parliament na baraza la wawakilishi halafu kui shoot down huko, itaonekana ni ya wachochezi wachache na ma CUF wao.

Tumia akili, usibwabwaje kwa unazi. Baraza lenu lenyewe limepitisha sasa unakuja kulalama eti ooh, ililetwa top down, mbona bajeti zinaletwa top down na zinapitishwa, nazo haramu zile?

Acha longolongo, umasikini wetu wala hautyokani na muungano.Mimi nataka muungano upigwe chini ili muende zenu mbele kwa mbele mkose kutulaumu. Sasa sijui mtavunja uzanzibari nao wapemba waende zao na Waunguja, kutoka hapo vile visiwa vidogodogo vyote navyo vitataka kuwa vinchi, mwishowe kila famila iwe na rais wake pamoja na bendera.

Nyie wengine ubishi na ulalamishi asili yenu, na sie tushachoka hatuutaki muungano, vunja hata kesho, vunja na tuone kama tutau miss.

Sanasana mnachukua mgao wetu tu pamoja na kujaza vyuo vya elimu ya juu.Na mkivunja muungano vyuoni kote tunawatoza ada za international students, kama mtakubaliwa at all na vi affirmative action program mnavyovitegemea, na wote mliopo mawizarani na BOT fukuzilia mbali within 48 hours muwe msharudi Chake Chake na Tumbatu huko mkacheze na magofu na tumbili.

Hamna adabu kabisa, mtu Nyerere baba wa watu kawasitirini kuwapa muungano uliokuwa lopsided in your advantage despite your small size, wakati angeweza kuwa annex tu kama Emperor Selassie alivyo i annex Eritrea, leo mnaona mnaonewa.Mauzauza haya ya "mkataa pema pabaya panamwita"

Nyerere kwetu wazanzibari ni kama Adolf Hitler, kwa hiyo hajamsitiri hata mzanzibari mmoja.Huo ni uzushi uliomo kwenye vichwa vya watanganyika ambao ni usanii wa Nyerere, kama ule aliokuwa akifanya kukunyimeni TV halafu yeye anatizama Weather Focast akiwa kwake Msasani...halafu kesho yake anakwambieni "Kesho kutanyesha mvu!"...na mukakaa na kumuona ni kiongozi hodari, anajua kesho kutanyesha mvua!

Kufikiria kama Zanzibar haitoweza kujiendesha ni wazo potofu, kwani Zanzibar ni nchi ya zamani zaidi kushinda Tanganyika.Soma historia utagundua kama ni miaka mingi Zanzibar ipo, kabla Tanganyika haijaundwa.

Wala usisimange wapemba waliopo bara, tuna wamasai na makabila mengine yamejaa Zanzibar.Hebu safiri uende huko Zanzibar ukajionee ndugu zako walioko huko halafu ndio uanze na vitisho vya kuwa mutawafukuza.

Ama kwa suala la kusoma vyuoni, sioni umuhimu wowote wa kuwazuilia wasisome hapo au wabara wasisome Zanzibar....vyuo vitajengwa Zanzibar au watu wataenda kusoma nje.Nje inaweza kuwa Dar, Kampala, Europe,Asia etc....sioni kama Tanganyika ndio nchi pekee yenye Universities!Au kusifika kuwa na Universities bora duniani...

Nahisi kama wewe ni fukara wa hoja za msingi za kuutetea huu muungano...maana hujataja hata faida moja ambayo Zanzibar au Tanganyika inapata.Muungano huu ni vurugu tupu....na yote haya mie namlaumu Nyerere, ndie aliekuwa mstari wa mbele na sera zake za kijamaa kuleta miungano isiyo na kichwa wala miguu!
 
Kwa nini iwe Tanganyika ndiyo inaikalia Zanzibar kimabavu? Why cab't it be the other way around? Au kwa vile Tanganyika ni kubwa zaidi? Kama muungano ni batili kisheria basi hilo ni kosa ya pande zote. The union is a complicated question with a very simple answer. The problem is every one is scared to be the one to initiate it.
 
mimi sijiskii fine kusema ni mtanzania, nataka niseme mzanzibari kama ilivyokuwa awali...

The irony of this rhetoric and the majority of those who jump on the bandwagon is that they were not even born in April 1964.

Naamini kama napigania uhuru kama babu yako Nyerere alivyokudanganyeni kuwa kapigania uhuru, wakati kapewa uhuru kwa karatasi...hajapigania uhuru mmoja!

Tena babu yenu Nyerere kawapumbazeni sana nyie miaka 22 anakulisheni ugali wa njano, huku akiwaandikieni Azimio la Arusha...

Thats below the belt sonny boy and uncalled for. Talk about ukosefu wa fadhila.

Eeh bwana....masikini toka lini wakaungana, mwisho wake ni kuibiana tuu....:rolleyes:

Care to elaborate and substantiate such absurd claims?


Acha longolongo, umasikini wetu wala hautyokani na muungano.

Hamna adabu kabisa, mtu Nyerere baba wa watu kawasitirini kuwapa muungano uliokuwa lopsided in your advantage despite your small size, wakati angeweza kuwa annex tu kama Emperor Selassie alivyo i annex Eritrea, leo mnaona mnaonewa.Mauzauza haya ya "mkataa pema pabaya panamwita"

Amen

Mimi mashaka yangu hawa hawachelewi kuanza kujilipua mitaa ya Kariakoo, si dini yao inawaruhusu kudai hakkki?

That's also uncalled for and wala sioni uhusiano kati ya dini ya mtu na kudai "haki" yake. Don't allow yourself to be dragged down to their level

Nyerere kwetu wazanzibari ni kama Adolf Hitler, kwa hiyo hajamsitiri hata mzanzibari mmoja.Huo ni uzushi uliomo kwenye vichwa vya watanganyika ambao ni usanii wa Nyerere, kama ule aliokuwa akifanya kukunyimeni TV halafu yeye anatizama Weather Focast akiwa kwake Msasani...halafu kesho yake anakwambieni "Kesho kutanyesha mvu!"...na mukakaa na kumuona ni kiongozi hodari, anajua kesho kutanyesha mvua!

Kufikiria kama Zanzibar haitoweza kujiendesha ni wazo potofu, kwani Zanzibar ni nchi ya zamani zaidi kushinda Tanganyika.Soma historia utagundua kama ni miaka mingi Zanzibar ipo, kabla Tanganyika haijaundwa.

Wala usisimange wapemba waliopo bara, tuna wamasai na makabila mengine yamejaa Zanzibar.Hebu safiri uende huko Zanzibar ukajionee ndugu zako walioko huko halafu ndio uanze na vitisho vya kuwa mutawafukuza.

Ama kwa suala la kusoma vyuoni, sioni umuhimu wowote wa kuwazuilia wasisome hapo au wabara wasisome Zanzibar....vyuo vitajengwa Zanzibar au watu wataenda kusoma nje.Nje inaweza kuwa Dar, Kampala, Europe,Asia etc....sioni kama Tanganyika ndio nchi pekee yenye Universities!Au kusifika kuwa na Universities bora duniani...

Nahisi kama wewe ni fukara wa hoja za msingi za kuutetea huu muungano...maana hujataja hata faida moja ambayo Zanzibar au Tanganyika inapata.Muungano huu ni vurugu tupu....na yote haya mie namlaumu Nyerere, ndie aliekuwa mstari wa mbele na sera zake za kijamaa kuleta miungano isiyo na kichwa wala miguu!

Beggars belief, Adolf Hitler?? Kweli kabisa ndugu yangu? Perhaps you also need to join the same history class you have just prescribed to the other poster. Are you for real or on some kind of a wind up? Tafadhali mkuu, weka jazba, hasira na chuki zisizokuwa na msingi pembeni na utafakari tena maandiko yako.
 
Kwa maana hiyo iko wazi kabisa kuwa muungano huu ni haramu.

Kwa nini wazanzibari bado wanaendelea kushiriki kwenye muungano haramu? Kwani kuna ugumu gani kwa wazanzibari kuamua kujitenga na muungano huu haramu? Kwa maoni yangu, Zanzibar kama sehemu kamili ya muungano (haramu?) inao uwezo wa kujitoa kama kweli wanataka kujitoa.

Sasa nilikuwa nataka maoni ya watanganyika au watanzania Bara kwa maneno ya siku hizi, wanahisi vipi kama wakiitwa wavamizi na wazanzibari kwa kuivamia na kuitawala nchi hiyo.Au wakiitwa wakoloni kama maneno ya waziri wa nishati alivosema kwenye baraza la Wawakilishi.

Si kweli kwamba wabara ni wavamizi/wakoloni. Kama hivyo ndivyo wazanzibari wanavyoamini, basi nadhani wana matatizo! Kwa nini wanakubali kuendelea kutawaliwa kimabavu na wabara? Mbona hawadai uhuru wao na wanaishia kuja no hoja za mafuta na gesi tu?
 
siku zote WAZANZIBARI TUPO WAZI KABISAAAAAA KUWA HATUUTAKI HUU SO CALLED MUUNGANO. NA KILA DALILI ZIPO TUNAAONYESHA UKIANZIA KULIONDOA SUALA LA MAFUTA NA MENGINE MENGI.

SASA NA NYIE WATANGANYIKA (samahani najua hampendi kuitwa hivyo, japo mkataa kwao mtumwa) basi nanyi tieni Tifu bungeni kudai serikali yanu ya Tanganyika basi ili tuuvunje huu muungano.

Jana kama mmesikiliza Bunge walikuwa wanajadili suala la Ardhi. Zanzibar wabara hakuna kuuziwa ardhi na wkiuziwa basi mlolongo mrefu lakini bara tunanunua kama njugu. je spika alilimaliza vp suala hilo? kajadilini kwenye chai.

Poleni watanganyika na wadanganyika. daini uhuru wenu.
 
s

Jana kama mmesikiliza Bunge walikuwa wanajadili suala la Ardhi. Zanzibar wabara hakuna kuuziwa ardhi na wkiuziwa basi mlolongo mrefu lakini bara tunanunua kama njugu. je spika alilimaliza vp suala hilo? kajadilini kwenye chai.

Poleni watanganyika na wadanganyika. daini uhuru wenu.

Sasa mnacholalamika ninini kama mnapendelewa?

Sisi tumeridhika hata ikiwa hivyo.

Wazanzibari wamekua kama wanawake wenye mimba!!
Nataka hiki nataka hiki akipewa bado itakuja kero nyingine.
Mna jina Zanzibar sisi hatuna Tanganyika so what!
Mna bendera ya Zanzibar sisi hatuna bendera ya Tanganyika so what!
Mnapendelewa kwenye ardhi sisi wala haitukeri.

NIKWASABABU TUNAMIJUA KWAMBA NI KAMA WANAWAKE WENYE MIMBA
 
Sasa mnacholalamika ninini kama mnapendelewa?

Sisi tumeridhika hata ikiwa hivyo.

Wazanzibari wamekua kama wanawake wenye mimba!!
Nataka hiki nataka hiki akipewa bado itakuja kero nyingine.
Mna jina Zanzibar sisi hatuna Tanganyika so what!
Mna bendera ya Zanzibar sisi hatuna bendera ya Tanganyika so what!
Mnapendelewa kwenye ardhi sisi wala haitukeri.

NIKWASABABU TUNAMIJUA KWAMBA NI KAMA WANAWAKE WENYE MIMBA
Ni bora kuwa aani Nyerere kawaendesha mpaka kuitwa wadanganyika mnaona taabu. Yaani mnakataa asli yenu.

Mkataa kwao na mkataa asli yake basi ni Mtumwa.
 
Kwa nini iwe Tanganyika ndiyo inaikalia Zanzibar kimabavu? Why cab't it be the other way around?
Kwasababu hiyo ni fact, zamani tanganyika ilikuwa inaishia kwenye mwambao...sasa imejitanua mipaka na kuwa inatawala hadi Zanzibar (kwa kujibadilisha nickname na kuwa Tanzania).

Kwa nini wazanzibari bado wanaendelea kushiriki kwenye muungano haramu? Kwani kuna ugumu gani kwa wazanzibari kuamua kujitenga na muungano huu haramu?
Ningelikushauri ukasoma katiba ya CCM, kwa hiyo mwana siasa yeyote atakae tangaza kuvunja muungano anafukuzwa na soo linazimwa kinyemela.Kuna rekodi ya 2 attempts za viongozi wa Zanzibar kuvunja muungano huo, na Nyerere kuwatoa kwenye chama au kuwauwa wanasiasa hao.Na sasa sera hizo za Nyerere zinaendelea, kwa kuweka viongozi ambao hawajachaguliwa na wazanzibari.Mfano Karume, hakuchaguliwa na CCM wenzake wa Zanzibar.

Wazanzibari wamekua kama wanawake wenye mimba!!
Nataka hiki nataka hiki akipewa bado itakuja kero nyingine.
Mna jina Zanzibar sisi hatuna Tanganyika so what!

Kama umeshashindwa na hoja za kuutetea muungano, ningelikuomba ukakaa pembeni na kunyamaza.Kufananisha wananchi na watu wenye mimba, ni kutusi wazanzibari.Na hii mara nyingi ni dalili ya mtu asie na hoja, huanza matusi.

Suala la ardhi, nahisi ni sawa kabisa SMZ kuweka vizingiti wabara wasipate ardhi visiwani.Aidha kwa Tanganyika (ambayo haipo) wana hiari ya kufanya watakavyo na ardhi yao...wala sitolalamika.Muulizeni Nyerere kwanini kaifuta Serikali ya Tanganyika...lakini kisheria bado iko, kwasababu nyaraka yake Nyerere haisemi kama imefutwa.


Cheers....
 
Back
Top Bottom