abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Wale wanao sema Tanzania ndio Tanganyika ni kweli maana sijawahi kuskia hata siku moja kuwa Watanganyika wamekaa pamoja kuzungumza masuala yasio ya Muungano au kuwatowa wabunge wa Zanzibar katika ukumbi kuwambia hivi sasa tunataka kuzungumza masuali yasio ya Muungano.
Tuseme hawana masuali yasio ya Muungano? kama hawana jee Tanzanet,Zahabu na Gus ya Songo songo niza Muungano? hapa anataka kupigwa mtu changa la macho.
Bila ya Tanganyika Muungano fake. mukianzisha harakati za kudai Tanganyika yenu Wazanzibar tutakuwa na nyiyi kuwasaidia laa kama hamuitaki tutapapatua kivyetu Wazanzibar kujitenga.
Hatuwezi kuwa wamoja bila ya kufufuliwa Tanganyika na ili kuwa na katiba yenu yenye kusimamia mambo yenu yasio ya Muungano, hivi sasa Muungano bila Tanganyika ni utata.
Tuseme hawana masuali yasio ya Muungano? kama hawana jee Tanzanet,Zahabu na Gus ya Songo songo niza Muungano? hapa anataka kupigwa mtu changa la macho.
Bila ya Tanganyika Muungano fake. mukianzisha harakati za kudai Tanganyika yenu Wazanzibar tutakuwa na nyiyi kuwasaidia laa kama hamuitaki tutapapatua kivyetu Wazanzibar kujitenga.
Hatuwezi kuwa wamoja bila ya kufufuliwa Tanganyika na ili kuwa na katiba yenu yenye kusimamia mambo yenu yasio ya Muungano, hivi sasa Muungano bila Tanganyika ni utata.