Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Wana jf msada kuna uvumi kwamba mubunge afumaniwa na kamera mjengoni akiangaria picha zangono kwenyesim yakeyamkononi mwenyetalifa msada kamanikweri au uzushi nawasilisha
andika kiswahili kizuri, mbona hueleweki? we mvamizi nini/:tape:
Wana jf msada kuna uvumi kwamba mubunge afumaniwa na kamera mjengoni akiangaria picha zangono kwenyesim yakeyamkononi mwenyetalifa msada kamanikweri au uzushi nawasilisha
Hakuna kituo wala mkato..maneno yameungana kama mayai ya chura!!! kinakilishi chako au simu haina kitufe cha kutenganisha maneno?
wew kwani umesikia wapi au ndo umetunga tu reference plz..
kwani wabunge hawaruhusiwi kuangalia porno kwenye simu?
Wana jf msada kuna uvumi kwamba mubunge afumaniwa na kamera mjengoni akiangaria picha zangono kwenyesim yakeyamkononi mwenyetalifa msada kamanikweri au uzushi nawasilisha