Jecha alitumwa na nani kufuta matokeo ya Uchaguzi Zanzibar

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Hivi Kweli Watanzania Mnaamini Jecha alikurupuka na Kufuta Uchaguzi wa Sehemu ya Nchi, Jambo la Hatari hivyo, Bila Kushauriana na Watu Fulani Fulani? Alipelewaje Majeshishi? Ukweli ni Kuwa, Kikwete na Mkapa ndio waliomtuma Jecha. Period. Wasitudanganye. Unaweza Kufanya Jambo la hatari lenye kuweza kuhatarisha usalama wa nchi ati bila hata Kujaribu kujua Mkuu wa nchi atasemaje. Na kwa bahati tu ati Jecha aungwe Mkono na wakuu wote wa Nchi!



Tazama Kwa Makini Body Language za Kikwete na Mkapa wakati Dr. Shein ambaye sio halali tena wa Zanzibar alivyokuwa Akizomewa, Bungeni.



Angalia Majibu ya Kunya anayowapa BBC, baada ya Kuchakachua uchaguzi wa Zanzibar Mwaka 2000 Majibu yake Ni Upuuzi, Msikilize ati anasema ati waangalizi hawawezi Kujua Kama Uchaguzi ni wa haki au la kwa kuwa pale siku 21. Hawa wapuuzi wanapanga Mipango ya wizi wa Uchaguzi Kutoka Bara. Na Ukimsikiliza, Msikilize akisema, "Hapakuwepo na Malalamiko au Kasoro yoyote siku ya uchaguzi" Na akaongeza Kwa Jinsi hiyo Ni Upuuzi Kurudia Uchaguzi kwa sababu hiyo. Hiyo ni(2000)

Sasa Mkapa Uchaguzi wa 2015 hakukuwepo na Malalamiko au Kasoro Vituo vya kupiga Kura, Kura zilipigwa zikahesabiwa na matokeo yakabandikwa Kutani. Siku nyingi Baadaye Kunaaletwa hadidhi za Bulicheka Jecha Mliyemtuma, Mnasema Uchaguzi Urudiwe! Mbona 2000 Ulikataa Uchaguzi Usirudiwe kwa Kuwa Uchaguzi Uliisha kwa amani na bila malalamiko. Na huwezi kurusu Uchaguzi Uudiwe kwa malalamiko ya baadaye. HUU UNAFIKI WA SASA UNATOKA WAPI?

 
Kibonge wa masaki ndie director wa movie nzima,nakumbuka akikuwa ana mwambia jamaa akiwa madarakani,kwanini usimfute lowasa uanachama,?b4 hata ngosha hajafikiria kuukwea mnara.huyu kinonge ni wakua nae makini sana yuko nyuma ya pazia lakin ndie anaetoaga oda wapiganaji waende kule wavae uniform za ..........
 


Hawa waombe Kwa Mungu wao au Shetani wanaomjua, Kwani Kukitokea Machafuko Zanzibar, Kukitokea Machafuko zanzibar kwa ajili ya Matendo ya wahalifu hawa, Waishia walikoishia akina Charles Tylor, na akina Bosko Ntaganda! I pray that they don't get old and die before they face charges in the International Human Rights tribunal. They Think they are special, Especially Mkapa, this fellow is very arrogant. He literally act and talk as if Tanzania is his Livestock field and Tanzanians are his Livestock. No, my Dear Hapana beste! Tanzania belongs to God and The Tanzanians are his creation, and regardless of who you think you are, before God you are Nothing! Mkapa, Sijui nikuambie Kilungha kama kampeni zenu za Danganya toto? Aiyo kwa Ruwa le Ukeri mtuu n,dede Kirombo Ningekwambia, Ife kwa Muungu le, ni Kona mta saana. I have a challenge to them ,send me to court if you have guts!
 
Hawa waombe Kwa Mungu wao au Shetani wanaomjua, Kwani Kukitokea Machafuko Zanzibar, Kukitokea Machafuko zanzibar kwa ajili ya Matendo ya wahalifu hawa, Waishia walikoishia akina Charles Tylor, na akina Bosko Ntaganda! I pray that they don't get old and die before they face charges in the International Human Rights tribunal. They Think they are special, Especially Mkapa, this fellow is very arrogant. He literally act and talk as if Tanzania is his Livestock field and Tanzanians are his Livestock. No, my Dear Hapana beste! Tanzania belongs to God and The Tanzanians are his creation, and regardless of who you think you are, before God you are Nothing! Mkapa, Sijui nikuambie Kilungha kama kampeni zenu za Danganya toto? Aiyo kwa Ruwa le Ukeri mtuu n,dede Kirombo Ningekwambia, Ife kwa Muungu le, ni Kona mta saana. I have a challenge to them ,send me to court if you have guts!

Nami ndilo naliombea kabisa waendelee kuwepo na kuishi ili wa face charges
 

Nami ndilo naliombea kabisa waendelee kuwepo na kuishi ili wa face charges

Mada Imeondolewa Katika Mijadala ya Siasa na Kuwekwa kwenye Uchaguzi Tanzania, Lakini Baada ya Uchaguzi Kumalizika Ni wachache wanakwenda kwenye "Uchaguzi Tanzania" Kusoma mada! Naomba aliyeihamisha afikirie uwezekano wa kurudisha mada hii. mimi nipo responsible na matamshi yangu, Huku nikitambua kuna hiyo sheria ya Ukandamizi ya Mtandao. Ila hawawezi chochote kwangu
 
... (... Ni upuuzi kutumia muda kushauriana na Serikali ambayo majibu yake ni matumizi ya bunduki, mabomu ya machozi na ukatili dhidi ya raia, ni muda sasa wa kufikiri mbimu mpya) CCM ya Kikwete alitumia Polisi dhidi ya Raia wanaoandamana mitaani, lakini CCM ya Magufuli inatumia FFU Dhidi ya Wapinzani wanaotoa hoja bungeni. If you Give an evil man an inch he will take a mile!..."

Nimegundua unafiki wa Magufuli katika kadhia ya Zanzibar pia.

Unatolewa utetezi kuwa hahusiki na hana mamlaka ya kuingilia kati au kutatua "mkwamo" wa Zanzibar.
Mkwamo ni mkakati wa CCM kubaka demokrasia ulioratibiwa na unaotekelezwa na CCM kupitia serikali zake na vyombo vya ulinzi. Pitia uzi huu utapata maelezo mengi kuhusu hoja hizi. Link Balozi wa Norway nchini Tanzania, utaondoka wewe CCM utaiacha Tanzania

Unafiki huo na udanganyifu wa Mkulu ni upi?
Ni wazi alipewa taarifa na maelezo kuhusu "mkwamo" wa Zanzibar na mtangulizi wake alipokabidhiwa Ofisi ya Urais na Ikulu.

Rais Magufuli alikaa kimya kuhusu "Mkwamo wa Zanzibar" kwa muda mrefu kama anavyohoji Lissu. Dakika 4:30 -6:55

Rais Magu alipoamua kulizungumzia suala la Zanzibar alisema hivi: dakika ya 10:50 -13:30

Wale waliotarajia kuwa tutafarakana wameondoka wakiwa wamefadhaika sana huku wakijiuliza hivi hawa Watanzania ni Waafrika wa namna gani. Ndugu zangu Watanzania, kwa mara nyingine tena tumedhihirisha, kwetu sisi wenyewe, kwa Afrika na dunia, kwamba sisi ni kisiwa cha Amani katika bahari iliyochafuka. Tunayo haja ya kujipongeza na kujiwekea nadhiri kuwa tuaendelea kuidumisha hali hii na kuilinda amani ya nchi yetu. Ombi langu kwa vyama vya siasa, wanasiasa wa vyama vyote na viongozi wa dini ni kutimiza wajibu wetu wa kuilea amani ya nchi yetu.

Aidha, napenda niungane na ninyi pamoja na Watanzania wote kuvipongeza vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama (Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Polisi, Magereza, Uhamiaji na Usalama wa Taifa pamoja na mgambo) kwa jinsi walivyoshiriki katika kuhakikisha nchi yetu inaendelea kuwa salama katika kipindi chote cha uchaguzi.
..........
Pamoja na kero hizo tutashughulikia pia mambo yafuatayo.

Kuimarisha Muungano

Mheshimiwa Spika;

Nilipoapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, niliapa kuulinda Muungano wa nchi yetu. Hata bila kiapo, mimi ni muumini wa dhati wa Muungano wetu wa kipekee, uliounganisha nchi mbili zilizokuwa huru za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, tena kwa hiari na kwa wino wa kalamu, na si mtutu kama miungano mingine duniani. Naamini kwa dhati ya moyo wangu kuwa Muungano wetu ndio umoja wetu, amani yetu na salama yetu. Ninayo kila sababu ya kuulinda na kuuenzi Muungano wetu adhimu na adimu. Ni azma yangu kuwaona wananchi wa Zanzibar na Bara wakifurahia matunda ya Muungano wetu badala ya kuwa kikwazo kwa ustawi wao na ustawi wa nchi yetu.

Aidha, kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na wadau wa siasa hususan vyama vya CUF na CCM tutahakikisha kuwa majaribu ya kisiasa yanayoikabili Zanzibar yanamalizika kwa salama na amani. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie busara na hekima tumalize kwa utulivu na amani.

Serikali nitakayoiunda itafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuendelea kuimarisha Muungano wetu. Nina faraja kuwa Mheshimiwa Samia Suluhu, Makamu wa Rais anao uzoefu mkubwa kutokana na nafasi yake ya awali ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano, na pia akiwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Mimi pamoja na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein tutahakikisha tunasimamia na kuimarisha Muungano wetu.
Link Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Tovuti Rasmi ya Rais
Angalia hii video baada ya hotuba hiyo anasemaje?


Hiyo ya Kijani ndio inajaribu kufunika unafiki na kuanika udanganyifu wa Mkulu.
Kwa kauli hiyo ni wazi hatasimamia haki ya wapiga kura wa Zanzibar ambao kura zao za tarehe 25.10.2015 zilitumiwa na NEC kumhalalishia ushindi wa nafasi ya Raisi ya Serikali ya Muungano lakini zikawekewa mkwamo kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar.Magu Alishapata taarifa ya mkwamo, vipi anatuaminisha kuwa Dr. Shein atakuwa Rais wa Zanzibar?

Kwa nini mtutu unatumika?

CCM ni ile ile na Magufuli ni mccm.
 
Back
Top Bottom