Jealous Wife.....

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
A woman wanted to reach her husband on his mobile phone but discovered that
she was out of credit, she instructed her son to use his own phone to pass
across an urgent message to his daddy who was on site. After junior had
called, he got back to Mommy to inform her that there was a lady that
picked up Daddy's phone the three times he tried reaching Dad on the
mobile.

She waited impatiently for her husband to return from work and upon seeing
him in the driveway; she rushed out and gave him a tight slap. Then she
slapped him again for good measure.

People from the neighborhood rushed around to find out what the cause of
the commotion was. The woman asked junior to tell everybody what the lady
said to him when he called.

Junior said: "The subscriber you have dialed is not available at the moment.
please try again later".


Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Ha ha haaaaaaaaaaaaaa.....Boflooooooooooooooooo....lol :smile-big: :smile-big:
 
Bofloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Loooolll
 
Nimecheka sana. Imenikumbusha movie niloangalia jana inaitwa "Reload" kuna wanawake wana wivu wa kufa mtu. Kuna mmoja huyo kila akiona gari ya mumewe anamwambia dereva wake waifuatilie. Kuna siku wamefuatilia mpaka hotel mumewe katoka na kabinti kwenye gari wacha mama akachimbie mkwara. Siku nyingine kaona gari ya mumewe kaifuatilia (huwa yeye ana dereva afu it seems ni mama wa nyumbani ila ndo mwenye pesa ambazo hubby wake anatumbua) kakuta kumbe gari yao (Vogue) inaendeshwa na mwanamke na si mumewe. Alichokifanya ni kumdaka yule dada, ambaye inaonyesha alikuwa anaenda ku book chumba hotel na alikuwa ni staff wa kampuni yao, na kumwamuru ampe dereva wake funguo afu akampandisha nyuma wakakaa wote akiwa anampa mkong'oto mpaka wamefika nae home kwao. Kachukua mkanda kaendelea na shughuli ya kumtandika. Mume baada ya kusaka kimada wake anakuta gari ya wife imepaki hotel akajua kimeshanuka. Kukimbia home kakuta kimada yuko hoi. Eti anajitetea huyu ni just co worker. Wife anasema eeh ngoja nimfunze adabu ili aogope other people's property (sikujua ana maana ya mume au ile vogue aliposema other people's property). Ni movie nzuri inaonyesha jinsi gani wanawake tuko possessive na tunavyopenda ku deal na the other woman na si wapenzi wetu.
 
Nimecheka sana. Imenikumbusha movie niloangalia jana inaitwa "Reload" kuna wanawake wana wivu wa kufa mtu. Kuna mmoja huyo kila akiona gari ya mumewe anamwambia dereva wake waifuatilie. Kuna siku wamefuatilia mpaka hotel mumewe katoka na kabinti kwenye gari wacha mama akachimbie mkwara. Siku nyingine kaona gari ya mumewe kaifuatilia (huwa yeye ana dereva afu it seems ni mama wa nyumbani ila ndo mwenye pesa ambazo hubby wake anatumbua) kakuta kumbe gari yao (Vogue) inaendeshwa na mwanamke na si mumewe. Alichokifanya ni kumdaka yule dada, ambaye inaonyesha alikuwa anaenda ku book chumba hotel na alikuwa ni staff wa kampuni yao, na kumwamuru ampe dereva wake funguo afu akampandisha nyuma wakakaa wote akiwa anampa mkong'oto mpaka wamefika nae home kwao. Kachukua mkanda kaendelea na shughuli ya kumtandika. Mume baada ya kusaka kimada wake anakuta gari ya wife imepaki hotel akajua kimeshanuka. Kukimbia home kakuta kimada yuko hoi. Eti anajitetea huyu ni just co worker. Wife anasema eeh ngoja nimfunze adabu ili aogope other people's property (sikujua ana maana ya mume au ile vogue aliposema other people's property). Ni movie nzuri inaonyesha jinsi gani wanawake tuko possessive na tunavyopenda ku deal na the other woman na si wapenzi wetu.


  • :smile-big::smile-big:

 
Back
Top Bottom