MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
1. Tunahitaji good and strict leadership patriotic na kuwa 'dictator' kwa miaka say 15 to 20 years! Hii haihusiani na ubepari wala ujamaa! udiktator kuweka extreme strictness ktk matumizi na makusanyo ya raslimali, na kuchukua hatua kali kwa mafisadi!
2. Udiktatoship wa kizalendo pia utarejesha uzalendo wa Taifa ambao naona kama unaanza kupotea! Pia italeta displine ya kazi na kupunguza siasa- na kuzitofautisha na kazi!
3. Then we need strong institutions kusimamia haki i.e mahakama, Bunge, free media n.k and to fairly re-distribute wealth. Mf. Mtu akiiba au haruhusiwi kugombea ubunge au to take any public office!
4. Bado hadi sasa nina wasi2 kama kweli Afrika (Tz) we were ready for Multi-party. Have many parties done good or harm? Hii stage inafaa kama 1-3 have been fullfied!
5. Pia we need to look on ways to cut off foregn AID- ila kwa humanitarian reasons! Misaada ya nje imetulemaza na inaturudisha nyuma kimaendeleo!
Angalia Kenya- wale wote waliokuwa implicated ktk Angloleasing and Golderberg multi-bilion deals -kuwaibia watu maskini wamepata promotion wote ni wabunge na mawaziri! Angalia Tz mawaziri, Makatibu wakuu wana nyumba (na nje ya nchi) na mali zisizilingana na mapato yao- na wanapeta na wanapewa nafasi zaidi! Na wananchi wa kawaida wanaona!
Pia naona kama mfumo wa sheria tuliorithi UK not ideal kwetu Afrika- we need a much stricter laws, na vyombo vya dola!
Ni kama udiktator.. flani ila watu wakishazoea na kuheshimu hizi sheria ndo Afrika we shall take off!
Otherwise I see the near future of our continent glomy!
2. Udiktatoship wa kizalendo pia utarejesha uzalendo wa Taifa ambao naona kama unaanza kupotea! Pia italeta displine ya kazi na kupunguza siasa- na kuzitofautisha na kazi!
3. Then we need strong institutions kusimamia haki i.e mahakama, Bunge, free media n.k and to fairly re-distribute wealth. Mf. Mtu akiiba au haruhusiwi kugombea ubunge au to take any public office!
4. Bado hadi sasa nina wasi2 kama kweli Afrika (Tz) we were ready for Multi-party. Have many parties done good or harm? Hii stage inafaa kama 1-3 have been fullfied!
5. Pia we need to look on ways to cut off foregn AID- ila kwa humanitarian reasons! Misaada ya nje imetulemaza na inaturudisha nyuma kimaendeleo!
Angalia Kenya- wale wote waliokuwa implicated ktk Angloleasing and Golderberg multi-bilion deals -kuwaibia watu maskini wamepata promotion wote ni wabunge na mawaziri! Angalia Tz mawaziri, Makatibu wakuu wana nyumba (na nje ya nchi) na mali zisizilingana na mapato yao- na wanapeta na wanapewa nafasi zaidi! Na wananchi wa kawaida wanaona!
Pia naona kama mfumo wa sheria tuliorithi UK not ideal kwetu Afrika- we need a much stricter laws, na vyombo vya dola!
Ni kama udiktator.. flani ila watu wakishazoea na kuheshimu hizi sheria ndo Afrika we shall take off!
Otherwise I see the near future of our continent glomy!