Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Unakaa kijjni na shughuli zako ni kupeleka jongoo mjn,lkn ukiondoka mkeo naye anagawa uroda kwa jamaa, jirani mwema akaamua kukuambia kuwa unaposafiri mkeo anatoa uroda,hukumuamini na kuamua kufanya uchunguzi mwenyewe, ukamdanganya mkeo kuwa unasafiri ili umfumanie,ukaenda kujificha kwa jirani,usiku wa saa 3 jirani anakuambia kuwa mume mwenzio kashafika nyumbani kwako,ukaamua kwenda kufumania huku ukiwa na ghadhabu tele ile unabisha hodi tu hamadi!ukavamiwa na Simba ila wao walikusikia ukibisha hodi pia wakamsikia Simba anakuvamia,jamaa akatoka na Mchi na kumpiga nao Simba,Simba akakuacha na jamaa akakuingiza ndani kukuokoa na akaufunga mlango kwa ndani ili Simba asiweze kuingia,unajikuta mko watu wa3 unamuangalia jamaa ana kanga 1 ya mkeo na nguo za jamaa ziko chini unamuangalia mkeo naye ana kanga 1 kufuli na jeki zake ziko juu ya kitanda,je?ingekuwa wewe ungemfanyaje jamaa.