mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
jamani leo nimecheka sana sababu nimekutana na classmate wangu wa primary nikawa nimemsahau jina ila nikawa nalikumbuka jina la enzi za shule nilipomwita jamaa alikasilika kweli, lakini si huyo tu kuna mwingine hapendi kukumbushiwa mambo ya primary sababu alikuwa anajikojolea darasani. mimi binafsi napenda sana coz yananifurahisha mno. je wewe unapenda kukumbushiwa ya primary? au ukikumbushiwa unarusha ngumi?