The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 83
Mimi ni kijana mtanashati mwenye moyo wa upendo pamoja na ukarimu, nimeona vema kumtafuta mchumba kwa njia ya mtandao huu wetu kwani ni sehemu ambayo wengi wapo ktk uhuru na kujiamini zaidi. Hivyo basi kama dada, msichana unajiamini na una sifa angalao 70% basi jiskie mwenye bahati kwa kunitafuta kwa njia ya email.
SIFA
1. Uwe mwenye upendo na ukarimu kwa wote bila ubaguzi
2. Akili na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ktk maisha (risk taker)
3. Uwe mcha Mungu ktk Kristo
4. Uwe na uwezo wa kuridhika na kidogo upatcho maishani
5. Mvumilivu ktk ugumu wa maisha na matatizo ya hapa na pale
6. ***usiwe na mahusiano na mwanaume mwingine toka mwanzo.
7. Uwe na umbo lenye wastani (mrefu na mnene wa wastani)
8. Rangi siyo kigezo ila usafi utakuongezea nafasi kubwa mno
9. Usafi wa mwili na mavazi ni moja ya sifa kuu
10. Mwisho kabisa kama upo udsm au ndo unajiandaa kuingia utapata bonasi ya 10%
i wish you good luck. Tumia email hii kunitafuta rainchris02@gmail.com
SIFA
1. Uwe mwenye upendo na ukarimu kwa wote bila ubaguzi
2. Akili na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ktk maisha (risk taker)
3. Uwe mcha Mungu ktk Kristo
4. Uwe na uwezo wa kuridhika na kidogo upatcho maishani
5. Mvumilivu ktk ugumu wa maisha na matatizo ya hapa na pale
6. ***usiwe na mahusiano na mwanaume mwingine toka mwanzo.
7. Uwe na umbo lenye wastani (mrefu na mnene wa wastani)
8. Rangi siyo kigezo ila usafi utakuongezea nafasi kubwa mno
9. Usafi wa mwili na mavazi ni moja ya sifa kuu
10. Mwisho kabisa kama upo udsm au ndo unajiandaa kuingia utapata bonasi ya 10%
i wish you good luck. Tumia email hii kunitafuta rainchris02@gmail.com