Je, wewe ni msichana wa umri kati ya 18-21 miaka......basi fungua ndani upate maelekezo zaidi.

The Only Kilo

JF-Expert Member
Jul 16, 2010
352
83
Mimi ni kijana mtanashati mwenye moyo wa upendo pamoja na ukarimu, nimeona vema kumtafuta mchumba kwa njia ya mtandao huu wetu kwani ni sehemu ambayo wengi wapo ktk uhuru na kujiamini zaidi. Hivyo basi kama dada, msichana unajiamini na una sifa angalao 70% basi jiskie mwenye bahati kwa kunitafuta kwa njia ya email.

SIFA
1. Uwe mwenye upendo na ukarimu kwa wote bila ubaguzi
2. Akili na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ktk maisha (risk taker)
3. Uwe mcha Mungu ktk Kristo
4. Uwe na uwezo wa kuridhika na kidogo upatcho maishani
5. Mvumilivu ktk ugumu wa maisha na matatizo ya hapa na pale
6. ***usiwe na mahusiano na mwanaume mwingine toka mwanzo.
7. Uwe na umbo lenye wastani (mrefu na mnene wa wastani)
8. Rangi siyo kigezo ila usafi utakuongezea nafasi kubwa mno
9. Usafi wa mwili na mavazi ni moja ya sifa kuu
10. Mwisho kabisa kama upo udsm au ndo unajiandaa kuingia utapata bonasi ya 10%


i wish you good luck. Tumia email hii kunitafuta rainchris02@gmail.com
 
Mimi ni kijana mtanashati mwenye moyo wa upendo pamoja na ukarimu, nimeona vema kumtafuta mchumba kwa njia ya mtandao huu wetu kwani ni sehemu ambayo wengi wapo ktk uhuru na kujiamini zaidi. Hivyo basi kama dada, msichana unajiamini na una sifa angalao 70% basi jiskie mwenye bahati kwa kunitafuta kwa njia ya email.

SIFA
1. Uwe mwenye upendo na ukarimu kwa wote bila ubaguzi
2. Akili na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ktk maisha (risk taker)
3. Uwe mcha Mungu ktk Kristo
4. Uwe na uwezo wa kuridhika na kidogo upatcho maishani
5. Mvumilivu ktk ugumu wa maisha na matatizo ya hapa na pale
6. ***usiwe na mahusiano na mwanaume mwingine toka mwanzo.
7. Uwe na umbo lenye wastani (mrefu na mnene wa wastani)
8. Rangi siyo kigezo ila usafi utakuongezea nafasi kubwa mno
9. Usafi wa mwili na mavazi ni moja ya sifa kuu
10. Mwisho kabisa kama upo udsm au ndo unajiandaa kuingia utapata bonasi ya 10%


i wish you good luck. Tumia email hii kunitafuta rainchris02@gmail.com

Acha watoto wasome, tafuta walio miaka 24 na kuendelea, kama vipi subiri subiri 6 wenye 18 watakuwa 24 au baada ya miaka 3 wenye 21 watakuwa 24.
 
Mm nashindwa kuwaelewa w'ume kutafuta w'ke kwa matangazo domo zege au wakati ss tunanagonga tutakavyo mashugamami wenye digrii wanafunzi na h girls. Poleni sana madomo zege.mademu njenje kitaa hadi unajitangaza kwenye jf,fb ,outdoor na magazeti
 
Mm nashindwa kuwaelewa w'ume kutafuta w'ke kwa matangazo domo zege au wakati ss tunanagonga tutakavyo mashugamami wenye digrii wanafunzi na h girls. Poleni sana madomo zege.mademu njenje kitaa hadi unajitangaza kwenye jf,fb ,outdoor na magazeti

Respect yourself and you will be respected.... Mwishoni utapata matokeo yako kaka kila la heri
 
wee umeorodhesha sifa 10, zako umetaja 2 tu tena baada ya kuulizwa.

Unajua hapa unaonyesha dalili zipi? Selfishness.

Ni mwanaume mwenye kujali na pendo la dhati. Nina jali na kuthamini hisia za wengine.
 
Back
Top Bottom