assalam alaykum ndugu Zangu mnaendeleaje na swaum mimi leo nilipenda kujua wanawake mpo kwenye makundi gani katika mahusiano maana kuna wengine wapo kwenye mahusiano kwa ajili ya mali baada ya mali kyuisha anasepa na mwingine yupo kwenye mahusiano kwa ajili ya kazi zake mfano mpelelezi ambaye anafanya uchunguzi baada ya kazi anaondoka sasa nataka kujua ni kwanini