mtakatifu Paka Mweusi hujambo? Za kunisusa?
Nauliza hivi sababu hapa mie najiona kama nilivyozaliwa, halafu baada ya mihangaiko yamaisha hujisikia kuwa free kama nilivyozaliwa na pia nashangaa naingia kitandani nakuta mwenza wangu naye kama vile alivyozaliwa! What a coincidence! Namuuliza kulikoni, naye ananiuliza kulikoni, mwishowe tukagundua nguo zinatubana sana sasa tumejikuta wote full kujiachia.
Hebu tupe mazoea yako maana nahisi haya manguo plus majoto dah waweza kuchacha hivihivi unajiona. Hebu sema we umetupia kivazi gani au ndiyo kama sisi? Halafu kama umeoa au kuolewa hapa ndiyo panakuhusu zaidi nyie mnaochakachua najua huwa mnajifichaficha ili makovu ya upele yasionekane na hata ukijiachia huwa unazima taa, wenzenu kwa raha zetu!
Kitumbua na ndizi wazi, kitumbua sio andazi.
Hebu tupia ma-experience ya room!
easy to be taken away...yani at the end unakuwa empty
tangu my huz C6 aondoke huwa nalala na jeans, lakini alipokuwepo tulikuwa tunalala na suti wenyewe yan twajiachia hadi raha!!!!
inaonekana huwa unaota upo "bollywood!" lol....
Hahahahah shosti Madame B umenifurahisha ,eti mwacheza kombolela....
Jamani Arabela mi sijambo na sijakususa wangu wa ukweli na natamani sana nije nikutembelee waja leo waondoka leo,lakini namuogopa zubedayo_mchuzi,asi unamuona alivyojazia wakati mie sawa na mbu ukinipuliza tu napeperuka..
Ila Shost kulala Naked ukiwa na Mupenzi wako raha sana.
Yani unajiachia sana.
Yani me inafikia Kipindi huwa tunajikuta twaweza shinda na Pichu mpaka jioni iwapo muzee siku hyo atakuwa Off kazini kwake.
Tunakimbizanaje humo ndani,
Basi tunachezaga Kombolela Vyumbani Mimi na Shemeji yenu,
Atakayebutua tu, Ndio anakuwa na Zamu ya kupika siku hyo.
Raha sana.
Sikupatii picha pale kati
shostiii raaaaha
yaani raha kwenda mbele nitonye
Mambo yalikuwa saafi,mpaka hapo mabomu ya gmboto yalipoanzisha shughuli usiku.
usinikumbushe,kiongozi wa familia unatoka na taulo,taulo yenyewe unaiona haitoshi,huku ndo unaongoza watoto wasipotee.
acha bwana usinikumbushe.
Usifanye mchezo na kutoka baru bila nguo,speed inaongezeka ila utakaokutana nao hawakawii kukuita mchawi,watu waoga! yaani toka yale mabomu jamaa anajijaladia! du! nimecheka sana!!!