Je we ni Mfanyabiashara, na biashara yako ipo kisheria-soma hapa kama ndio.

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
594
163
wadau....ni fursa nyingine nzuri kwa wafanyabiashara au wamiliki wa kampuni flani hapa mjini, na je una nia ya dhati ya kupanua soko lako kibiashara kwa kuongeza mtaji ili kuongeza uzalishaji ama kuboresha huduma. sisi ndo suluhisho lako......tunatoa mikopo kwa makampuni ili kuwawezesha wadau kwa ujumla kukuza biashara zao. mikopo ni kuanzia mil 200 na kuendelea, na inatoka ndani ya siku 21. hamna longolongo wala buugudha. Njoo ukiwa umejipanga na umekamilika. wooote mnakaribishwa. Kwa maelezo zaidii contact...0756 517 588 or 0782 517 588.
 
wadau....ni fursa nyingine nzuri kwa wafanyabiashara au wamiliki wa kampuni flani hapa mjini, na je una nia ya dhati ya kupanua soko lako kibiashara kwa kuongeza mtaji ili kuongeza uzalishaji ama kuboresha huduma. sisi ndo suluhisho lako......tunatoa mikopo kwa makampuni ili kuwawezesha wadau kwa ujumla kukuza biashara zao. mikopo ni kuanzia mil 200 na kuendelea, na inatoka ndani ya siku 21. hamna longolongo wala buugudha. Njoo ukiwa umejipanga na umekamilika. wooote mnakaribishwa. Kwa maelezo zaidii contact...0756 517 588 or 0782 517 588.

Hebu toa maelezo zaidi katika maswala yafuatayo:-
  • Mnatoa mikopo kwa biashara gani (uzalishaji, kilimo, etc.) ?
  • Mnatoa mikopo ya muda gani (mikopo ya miaka 3, 4, 5, etc.) ?
  • Mnahitaji dhamana (security) gani ?
  • Ninyi ni benki, saccos, ngo, etc ?

Tupe details zaidi.
 
Hebu toa maelezo zaidi katika maswala yafuatayo:-
  • Mnatoa mikopo kwa biashara gani (uzalishaji, kilimo, etc.) ?
  • Mnatoa mikopo ya muda gani (mikopo ya miaka 3, 4, 5, etc.) ?
  • Mnahitaji dhamana (security) gani ?
  • Ninyi ni benki, saccos, ngo, etc ?

Tupe details zaidi.

* mikopo aina yote
* ni kwa miaka 3,4,5 kama ni term loan na 1 kama overdraft
* dhamana ni isiyo hamishika..ni lazima iwe nyimba sio shamba
* ni benki. International commercial bank
 
mbona tangazo lako haliko rasmi yaan halionekani kama limetolewa na benk? wewe ni nani kwenye hiyo benk?
 
mwizi mkubwa wewe! toka lini benki ikajitangaza kienyeji kienyeji!!!
 
mkuu weka data za kutosha international commercial bank mko wapi na mwenye namba hizo hapo juu ni nani
 
jamani hiyo mi nimesema coz ni mfanyakazi wa benki kama business banking officer....na hizo ni contact zangu binafsi...call any time for further info
 
* mikopo aina yote
* ni kwa miaka 3,4,5 kama ni term loan na 1 kama overdraft
* dhamana ni isiyo hamishika..ni lazima iwe nyimba sio shamba
* ni benki. International commercial bank
yale yale yamerudi
 
watanzania wengi ni wajasiriamali sio wafanyabiashara hamjajipanga kwa ajiri watanzania
 
Back
Top Bottom