Eng. SALUFU CA
Senior Member
- May 12, 2010
- 145
- 16
Agh!!No comments
Hapana..huyo dada hafai kuolewa. Kama alimfanyia hivyo mumewe aliyemwacha ni nini kitakachomfanya asimfanyie huyo mume mpya kile alichokifanya kwa mume wa zamani? Ndiyo tabia yake hiyo ku flirt na watu au hata kumegwa nje ya ndoa. Hafai kuoa huyo maana sooner or later na wewe yatakukuta yaleyale yaliyomkuta mumewe wa zamani.
labda kwa kuwa sijaingia kwenye ndoa, lakini matarajio yangu ni kutomficha lolote huyo atakae nioa,
marafiki zangu mimi na yeye watakuwa marafiki zake, ndugu zangu mimi na yeye pia ni ndugu zake,
huko kazini watajua nimeolewa so hawatashutuka simu ikipokelewa na mme wangu, popote atakapokuwa na simu yangu atanijulisha kama kuna isshu yoyote ofisini na mimi ntawasiliana nao.
Hivi wanawake kama wewe mnapatikana wapi?
NN hii thredi umeanzisha ya kuwindia nini?:becky:Hivi wanawake kama wewe mnapatikana wapi?
Hivi wanawake kama wewe mnapatikana wapi?
hahaha wewe bana,
Nani hapa nimpatie simu yangu aiperuzi na kudadisi mpaka achoke halafu airudishe?
hehehehe......
ndio ameshaji-present hivyo! kazi kwako.....
sio kujipresent mkuu, ndo nilivyo hata kwenye mahusiano ya BF na GF, kwa nini nimfiche bana
Kwani hujui wa kumpa? JS..JS...JS
Hmmm...mbona hujajibu swali langu Kate? Napenda kukuita "Kate"....unaonaje wewe?
KUTOKANA NA HILI KUNA UTATA KWANI SITAKI PRESHA NA ILI KUZUIA HILO BORA NISIRUHUSU MAZINGIRA YANAYOWEZA KUSABABISHA PRESHA!!!!!otherwise binafsi sitakuwa na wasiwasi kwani najiamini,hofu ni upande wa pili so sitapokea cm yake ila yangu nitampa hata akitaka zaidi ya 2wks.KWA HISANI YA NDOA YETU(JAPO SIJAFIKA HUKO)......NTAVINJA UKIMYA.... NA KUMWOMBA AWE NA VIDONGE VYA KUSHUHSA PRESHA:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:!!
pls no.Ukiamua kuishi single no kumega neither kumegwa.Sasa kama ni hivyo ya nini kuoana? Si ni heri uishi singo tu ufanye utakavyo...i.e. mega yoyote yule unayetaka kumega au megwa na yoyote yule unayetaka akumege...
That is the lamest, dumbest, most ridiculously unconvincing reason I have ever heard. Eti ishu ya dingi yako kunywa hadi kujikojolea ndio hutaki mumeo ajue hadi umnyime kutumia simu yako? Girl puuhliiiiiz....kuna mushkili kwenye reasoning yako. Kwaheri....
Mwenzio (mwenza/ mwenzi wako) anakujia na wazo la kubadilishana simu za mkononi angalau kwa wiki moja - kuanzia Jumatatu asubuhi hadi Jumapili jioni.
Na anataka mbadilishane papo hapo bila kusubiri chochote. Yeye atakuwa na simu yako kwa hiyo wiki nzima na ataweza kupokea simu zako, text messages zako, na mengineyo na wewe utaweza kufanya vivyo hivyo na simu yake.
Je utafanya nini? Utamkubalia? Au utampiga tarehe kwanza ili upate wasaa wa kuwataarifu baadhi ya watu kuwa mwenzio anayo simu yako kwa hiyo wasikutafute kwenye namba hiyo i.e. kuweka mambo sawa?
wewe nawe hebu uko, hapo nimekutolea mfano mdogo na wa mbali sana, kama unadhani unaweza kufanya maisha yaende kama utakavyo c uoe bac.