Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Mwenzio (mwenza/ mwenzi wako) anakujia na wazo la kubadilishana simu za mkononi angalau kwa wiki moja - kuanzia Jumatatu asubuhi hadi Jumapili jioni.
Na anataka mbadilishane papo hapo bila kusubiri chochote. Yeye atakuwa na simu yako kwa hiyo wiki nzima na ataweza kupokea simu zako, text messages zako, na mengineyo na wewe utaweza kufanya vivyo hivyo na simu yake.
Je utafanya nini? Utamkubalia? Au utampiga tarehe kwanza ili upate wasaa wa kuwataarifu baadhi ya watu kuwa mwenzio anayo simu yako kwa hiyo wasikutafute kwenye namba hiyo i.e. kuweka mambo sawa?
Na anataka mbadilishane papo hapo bila kusubiri chochote. Yeye atakuwa na simu yako kwa hiyo wiki nzima na ataweza kupokea simu zako, text messages zako, na mengineyo na wewe utaweza kufanya vivyo hivyo na simu yake.
Je utafanya nini? Utamkubalia? Au utampiga tarehe kwanza ili upate wasaa wa kuwataarifu baadhi ya watu kuwa mwenzio anayo simu yako kwa hiyo wasikutafute kwenye namba hiyo i.e. kuweka mambo sawa?