Ongeza maneno yako hapa au unipm kama unaelewa maana ya haya maneno;
KIZOTA, KUNYETA, ZERO BRAIN, SUPP, MKANDARASI, UWANJA WA ZEGE, DEO, MGANGALUMA, MK, BLOCK7, KAYUKI, nk.
Hebu changia tu kama umeelewa.
Lizzy ni pm basi.
We kama unataka PM siuseme tu.
Lizzy we andika neno lolote tu plz, au kama huna neno la kuandika kwenye hiyo pm basi bandika namba yako ya simu.
we, we, we hapana hapana, Lizzy kama vp piga chini tu.
we, we, we hapana hapana, Lizzy kama vp piga chini tu.
Asante sana Lizzy kwa pm yako nimefurahi sana. Da plety asante na wewe pia.
what is PM?
Pamoja Makamanda.
what is PM?