Madenti wengi wavulana kwa wasichana wanamiliki simu za mkononi'je wazazi ndo wanawanunulia na kama ndio jeni vema
Madenti wengi wavulana kwa wasichana wanamiliki simu za mkononi'je wazazi ndo wanawanunulia na kama ndio jeni vema
Naam, tena kila mzazi anatakiwa kumnunulia mtoto wake cell phone. Lakini mwanafunzi akiwa darasani, namshauri a-seti simu kwenye silence au vibration
bora zaidi ni kuzima simu. Kwani akiwa darasani anaweza kupokea sms ambayo itamfanya apoteze network. Mf. Sms za mapenzi, misiba n.k.
Madenti wengi wavulana kwa wasichana wanamiliki simu za mkononi'je wazazi ndo wanawanunulia na kama ndio jeni vema