Usiniambie hamira haihitajiki hapo Edilaisie.heheeee mpana, mrefu afu ana mambo mengi kama unga wa ngano wa Bakhresa huyu....
heheeee mpana, mrefu afu ana mambo mengi kama unga wa ngano wa Bakhresa huyu....
Duh! Duh! Kama ni kweli basi nimezeeka Yaani kale kachalii kasha oa wakati mi bado? Aisee Hii Inatisha Mimi Nipo Sekondari nakaona Kipindi cha mama na Mwana Duh! Kesha oa? Ila nawasiwasi ka huyo dada wanalingana!
Hiyo picha ya kwanza juu amepose na Mama yake au macho yangu jamani.
...Ndio majukumu ya kiutu-uzima huwezi kuepuka kunyonyesha. Charity avatar yako nimeipenda sana...nadhani nawe uko kihivyo..Unavutia mtoto nadhani ni natural kila mahali.....Mamaa wa kwanza,hata kunyonyesha itakuwa tayari hawa.
Hiyo picha ya kwanza juu amepose na Mama yake au macho yangu jamani.
Asante kwa pongezi.Kuhusu uhalisia wangu hata hujakosea. mimi ni binti afrika na shahidi zangu ni chrispin na bht....Ndio majukumu ya kiutu-uzima huwezi kuepuka kunyonyesha. Charity avatar yako nimeipenda sana...nadhani nawe uko kihivyo..Unavutia mtoto nadhani ni natural kila mahali.....
Siku hizi umekuwa mkali kama Geoff zamani.Kwani tatizo ni nini kama upendo upo? au huyo mama hawezi kupewa mimba?
Siku hizi umekuwa mkali kama Geoff zamani.
...Ndio majukumu ya kiutu-uzima huwezi kuepuka kunyonyesha. Charity avatar yako nimeipenda sana...nadhani nawe uko kihivyo..Unavutia mtoto nadhani ni natural kila mahali.....
Hahahahaaaa.jamani mtu na biggie wake mbona leo mmeniamulia? mie nimekuwa mkali ati?? Labda pengine mchumba amepunguza ma-care na anajirusha na akina Da Sophy.mi sijui wat has gone over her head??
namuogopa etii!!!!
Siku hizi umekuwa mkali kama Geoff zamani.
Mpe namba yangu ya simu nimfafanulie zaidiAsante kwa pongezi.Kuhusu uhalisia wangu hata hujakosea. mimi ni binti afrika na shahidi zangu ni chrispin na bht.
Kwa kweli itabidi tumfanyie maombi Edilaisie!mi sijui wat has gone over her head??
namuogopa etii!!!!
You dont have to win every Argument, Agree to Disagree:target::drum::hug:hujakosea sajenti
hivyo ndivyo alivyo Charity
naomba kuwasilisha ushahidi wangu wa kweli!!!
Umekosea. Na kina Elizaaaaaaaz! Lakini nikikua ntaachaHahahahaaaa.jamani mtu na biggie wake mbona leo mmeniamulia? mie nimekuwa mkali ati?? Labda pengine mchumba amepunguza ma-care na anajirusha na akina Da Sophy.
dah we mpana Charity!!!
Mpana kama gagulo la Msomali! :caked: