Je Waliowahi Kutendwa Hupenda tena?

[/LIST]
If you dont mind lets analyze the first one ... Is that ..real ... Love ? ... or ..Kuna siri fulani hapo ....

yaani kuna msukumo anaupata au kuvutiwa na kupendezwa na mtu anayemtenda... Yaani..katendwa mara ya kwanza ..cha ajabu ...tena ajabu sana ...anajishagaa ..haoni tatizo kutendwa..!! and what happens ..Anatendwa ..anonewa...tena ..na tena ...!! Hatakuwa na raha of course .. Lakini hawezi kujitenga na mtendaji .. au!?



Mapenzi is so phenomenal..... To understand Love the way inapaswa haiwezekani kamwe for kila mwanadamu aelewa vile yeye ataka.... Hilo ndo linafanya kuwe na tofauti in giving and receiving.... Nikirudi kwa huyo kundi A; Ni watu ambao wana a very pessimistic nature in looking at things na si love peke yake.... Anaamini kua ni so speacial na hivo u-special wake haiwezekani uende bure bila rewards ya kile ambacho amaamini, na hasa katika Mapenzi... BUT Life is a BITCH sometimes-hivo yaweza muonesha kua what s/he belives is not necessarily true, Na life ikifanya hivo (kumuonesha ukweli) Cruedly.... not gently ndo anapoishia a bad and sad ending....
 
mkuu i wish so maana NAJUA HUYU ANATAKUWA ANAJUA MACHUNGU YA KUTENDWA na HESHIMA NA MIZAHA KWENYE MAHUSIANO VITAKUWEPO ..

Maganga Mkweli nadhani umekuwa mkweli ktk thread hii, Maneno yako yamejaa hisia sana, unazungumza yale yatokayo ndani ya moyo wako.
Kuhusu kumpenda aliyetendwa kama solution kwangu bado siafiki kama ndio njia mbadala, nadhani huyu aliyetendwa mara nyingi hutawaliwa na umakini, anaweza fanya chochote, hawa si wavumilivu tena, uaminifu wao juu ya mpenzi mpya hua mdogo!
 
AshaDii kweli nilikumiss dah! Yan hapa umenena vyote, umetoa zaid ya kile kilichokua chanikereketa. Analysis yako ipo poa best, imeshiba. Nadhani wengi wataenjoy kwa kile ulichosema!
Kuhusu hawa wanaotendwa then wanafall inlove wakatendwa tena hivi wanajua maana ya mapenzi kweli? Ni aina gani ya wapenzi wanaoingia nao ktk mahusiano? Mi nadhan watu wa namna hii hawajui maana halisi ya mapenzi na sidhani kama wanaweza dhurika kwa kutendwa!



Gagurito... Why would you say hawajui Mapenzi?? Of coz wanajua, maybe hata kuliko ambao ni wagum...
 
IMO wanadamu tumetofautiana katika kila aspect... Hasa katika kuhimili maumivu ama kukabiliana na Matatatizo.... Na katika MAPENZI... that is the worst of all na hapo ndo zaidi saana... watu wakitendwa wapishana jinsi ya kurespond; ama jinsi watavokua affected. Kuna watu wa aina tatu (i would say) thou there maybe more..
  1. Kuna mtu anatendwa, but hakati tamaa.... Yeye kila siku anatendwa na kila siku falls again in love - tena sio ile ya mguu moja. No! But ile ya both feets in. Mara nyingi mtu wa namna hii anashindwa kabisa kuishi bila patner (yaani gap ya toka one relationship to another akijitahidi saana ni two weeks maximum); Wana tabia ya kua desperate ile mbaya, hio mara nyingi tokana na kutojua their potential hivo kufanya wapenzi wao mara nyingi kuwachukulia advantage mpaka pale penye kutendwa.... This person mara nyingi hawanaga raha, na hata aweza jiua kwa ajili ya wapenzi..... Sad.
  2. Kuna yule ambae akitendwa mara moja na hasa kama alipenda kuvuka mpaka with all his/her heart and Soul ni kwamba mchezo hapo unakua umeisha!! No loving again.... Ever! Na akipata mtu(mwenza) na akahisi kuahisi kua s/he is falling in love, anakimbia haraka saana for hataki tena those feelings akiamini atatendwa tena. Hawa watu waweza pata mtu wa kumpenda ukweli kabisa BUT hawathamini hilo penzi wala they don't give a damn!
  3. Kuna Mwingine hupenda.... na akitendwa, anaumia na kuugulia moyo wake kwa mda mreeeefu, hata miezi/miaka kadhaa. Then anarudi kwenye mstari na kuamini kua yule Ex alikua tu mpuuzi na hakuona umuhimu wake, hivo basi falls in love again... Anaumizwa, anaugulia kwa mda mrefu, then again..... Mpaka ampate yule ambae anaona ni wake. Hawa watu huamini kua haiwezekani kabisa kua mwanadamu anaweza kosa mtu ambae watapendana sawa.....
Gagurito missed you..... Habari yako bana!

Well said AD.....I always give myself 'extra' hope,ila inaumiza sana jamani hasa pale unapoona they take advantage of u. Ushauri wangu mkikutana na wanaume/wanawake waliotendwa wakawaelezea kilichotokea kwenye relationships zao msitumie hayo matatizo kama silaha. Yaani ukishajua weakness ya mtu basi usimtese nayo. Binafsi ni mpole,mvumilivu na mwepesi kusamehe pale tu utakaponiambia ukweli. Sasa unakutana na mtu unamuelezea background yako(i'm very open)halafu yy anarudia upuuzi almost the same na ulichomsimulia,kwa kutegemea kuwa utamsamehe tu kwasababu ndio kawaida yako......hell NO!!!!!! Natamani ningepata mtu wa kuniambia after what u went through darling I'll do the impossible to make you happy.....hapo hata mimi nitafungua moyo wangu 100% haijalishi magumu niliyopitia. Haina haja ya kumpa adhabu mtu asiestahili ni bora usijiingize kwenye mahusiano kabisa ujue moja.
 
Mapenzi is so phenomenal..... To understand Love the way inapaswa haiwezekani kamwe for kila mwanadamu aelewa vile yeye ataka.... Hilo ndo linafanya kuwe na tofauti in giving and receiving.... Nikirudi kwa huyo kundi A; Ni watu ambao wana a very pessimistic nature in looking at things na si love peke yake.... Anaamini kua ni so speacial na hivo u-special wake haiwezekani uende bure bila rewards ya kile ambacho amaamini, na hasa katika Mapenzi... BUT Life is a BITCH sometimes-hivo yaweza muonesha kua what s/he belives is not necessarily true, Na life ikifanya hivo (kumuonesha ukweli) Cruedly.... not gently ndo anapoishia a bad and sad ending....

Dah! wewe mtu yakupasa ufungue darasa. Upo safi sana ktk analysis! Nimekuelewa vyema!
 
kwa upande wangu nadhani unapotendwa kinachoumia kuliko vyote ni nafsi( the soul is the seat of all emotions) that is why it is extremely difficult kupona majeraha. we cannot bandage the soul!!!! it is not that easily accessible ila only Jesus said in the Bible kuwa yeye huweza kuiganga nafsi na it means if you can believe Him, then pray to Him to specifically heal your ailing soul. he is able.

 
madam sikuipata maana nilikuwa naisubiri kwa hamu nikajua ubusy sana yawezekana ni comm breakdown ila sijaitapa the last PM ni ile ambayo inataka nivute subira coz uko busy kimtindo.
unaweza nitumia tena coz naamini ina maanufa sana kwangu
asante


Dear NISAMEHE.... Hua sicheleweshi majibu kiasi hicho.... PMs zangu sasa hivi zijazipanga na zipo disorganised hivo mpaka nione yako tena kazi ipo. Naomba nivutie mda wowote toka sasa mpaka saa sita usiku nitakua nishatuma (itakua kwenye sent items) nashangaa sana hujapokea....
 
Ni kweli mkuu. Labda nikieleze nimetoa wapi wazo hili. Kifupi sikutarajia kama litanikaa ktk fikra zangu namna hii, mwanzoni nilidhani mzaha, ilikuwa ni Movie ya FORGETING SARAH MARSHALL, ckumpatia picha muhusika, kifupi ni ngumu sana kumsahau mwenza wako, na kama ulimpenda kwa dhati, nae akakaa moyoni mwako then akakatisha penzi lenu waweza chizika. Inauma sana na ni ngumu kumsahau!
inauma sana kucheza na hisia za mtu kwa kweli
 
dear nisamehe.... Hua sicheleweshi majibu kiasi hicho.... Pms zangu sasa hivi zijazipanga na zipo disorganised hivo mpaka nione yako tena kazi ipo. Naomba nivutie mda wowote toka sasa mpaka saa sita usiku nitakua nishatuma (itakua kwenye sent items) nashangaa sana hujapokea....
NIMEKUSAMEHE
i believe in you madam.. Me waiting
 
maganga mkweli nadhani umekuwa mkweli ktk thread hii, maneno yako yamejaa hisia sana, unazungumza yale yatokayo ndani ya moyo wako.
Kuhusu kumpenda aliyetendwa kama solution kwangu bado siafiki kama ndio njia mbadala, nadhani huyu aliyetendwa mara nyingi hutawaliwa na umakini, anaweza fanya chochote, hawa si wavumilivu tena, uaminifu wao juu ya mpenzi mpya hua mdogo!
lakini mkuu sintakuwa muwazi kwake na atajua nia na madhumuni yetu ndani ya mahusiano...?
Kwa kuwa katendwa na mie nime tendwa tutaelewana i hope, correct me if am wrong
inahitaji busara na maombi kwenye hili mkuu
 
Hahahaha! Hebu weka lyrics zake tuzisome mkuu!

Fool, fool heart, what have you done
I thought by now you'd had enough but
Oh no, you've got me falling in love, again.

Fool, fool heart, guess you'll never learn
Taking chances like you do isn't smart
My fool, fool heart.

Fool, fool heart how quickly you forget
Just when you were about to mend
You get to feeling lucky so you try it, again.

You're a fool, fool heart think you're bound to get it right
And that love's just a puzzle with a missing part
But you're a fool, fool heart.

Fool heart, God only knows
How you make it through the highs and the lows
Fool heart I wouldn't mind if
I thought it would be the last time.

Fool, fool heart, you know
We've been through this before
Seems like you said you'd given up
That you were through with being lost in love.

My fool, fool heart guess you've got to play love's game
Still the losing is the hardest part, my fool, fool heart.

Still the losing is the hardest part, my fool, fool heart...
 
Gagurito... Why would you say hawajui Mapenzi?? Of coz wanajua, maybe hata kuliko ambao ni wagum...

Hawajui coz mapenzi/kupenda kwaitaji muda, kumsoma mtu, kumchunguza mpaka kuja kuridhika nae. Hao wanaotendwa then baada ya muda mfupi wanapenda cdhan kma watathamini mapenzi yao! Mapenzi ya kukurupukia yanamadhara sana!
 
Fool, fool heart, what have you done
I thought by now you'd had enough but
Oh no, you've got me falling in love, again.

Fool, fool heart, guess you'll never learn
Taking chances like you do isn't smart
My fool, fool heart.

Fool, fool heart how quickly you forget
Just when you were about to mend
You get to feeling lucky so you try it, again.

You're a fool, fool heart think you're bound to get it right
And that love's just a puzzle with a missing part
But you're a fool, fool heart.

Fool heart, God only knows
How you make it through the highs and the lows
Fool heart I wouldn't mind if
I thought it would be the last time.

Fool, fool heart, you know
We've been through this before
Seems like you said you'd given up
That you were through with being lost in love.

My fool, fool heart guess you've got to play love's game
Still the losing is the hardest part, my fool, fool heart.

Still the losing is the hardest part, my fool, fool heart...

Mkuu thanx! Wimbo unaujumbe, lawama zote nikwa FOOL HEART.
 
kwa upande wangu nadhani unapotendwa kinachoumia kuliko vyote ni nafsi( the soul is the seat of all emotions) that is why it is extremely difficult kupona majeraha. we cannot bandage the soul!!!! it is not that easily accessible ila only Jesus said in the Bible kuwa yeye huweza kuiganga nafsi na it means if you can believe Him, then pray to Him to specifically heal your ailing soul. he is able.


Thanx mkuu!
 
hawajui coz mapenzi/kupenda kwaitaji muda, kumsoma mtu, kumchunguza mpaka kuja kuridhika nae. Hao wanaotendwa then baada ya muda mfupi wanapenda cdhan kma watathamini mapenzi yao! Mapenzi ya kukurupukia yanamadhara sana!
mkuu ila kuna hii intermediate stage ..(kutojielewa elewa) sasa hapa ndio pana patapotea(kupata au kupatikana tena) ... Unakuwa unaitafuta stability sasa itategemea na uvumilivu wako kusustain hii hali ya kutendwa na ndio maana suddenly mtu anachukua uamuzi wakuanzisha mahusiano mapya. Na sio kukurupuka mkuu...
 
Back
Top Bottom