Je Waliowahi Kutendwa Hupenda tena?

nilishatendwa vibaya mno.....
nikasamehe na kusahau....
na kufungua moyo wangu kwa mwingine....
na nimempenda ile mbayaaaaa.....
nashukuru ananipenda, na wala sikumbuki kuwa nilitendwa...

Unataka kusema umesamehe na kusahau vyote? Kweli u'watofauti.
 
Gagu
Hujambo kakaake..
Pole na majukumu na karibu tena dear ..

maswali yako ntakujibu Ijumaa jioni au Jmosi usiku..
Kwa sasa nayaacha ya teleze tu .. asante dear na karibu tena..

Afroo! Nipo ndugu yangu, nashukuru kwa salamu zako. Hakuna shaka, naimani utakuja na majibu toshelezi!
 
tena unapenda zaidi ya wa awali sa kama hujui ..............iila ndio uapate wa kukupa faraja na kukushow wats love,ana care feelins zako ,kukuheshim na kukulinda pia,sio wa machungu unaweza kua mwejeji wa mirembe mana itakua machungu square
so itategemea na huyo uliyempata

Thanx kwa ufafanuzi!
 
IMO wanadamu tumetofautiana katika kila aspect... Hasa katika kuhimili maumivu ama kukabiliana na Matatatizo.... Na katika MAPENZI... that is the worst of all na hapo ndo zaidi saana... watu wakitendwa wapishana jinsi ya kurespond; ama jinsi watavokua affected. Kuna watu wa aina tatu (i would say) thou there maybe more..


  1. Kuna mtu anatendwa, but hakati tamaa.... Yeye kila siku anatendwa na kila siku falls again in love - tena sio ile ya mguu moja. No! But ile ya both feets in. Mara nyingi mtu wa namna hii anashindwa kabisa kuishi bila patner (yaani gap ya toka one relationship to another akijitahidi saana ni two weeks maximum); Wana tabia ya kua desperate ile mbaya, hio mara nyingi tokana na kutojua their potential hivo kufanya wapenzi wao mara nyingi kuwachukulia advantage mpaka pale penye kutendwa.... This person mara nyingi hawanaga raha, na hata aweza jiua kwa ajili ya wapenzi..... Sad.
  2. Kuna yule ambae akitendwa mara moja na hasa kama alipenda kuvuka mpaka with all his/her heart and Soul ni kwamba mchezo hapo unakua umeisha!! No loving again.... Ever! Na akipata mtu(mwenza) na akahisi kuahisi kua s/he is falling in love, anakimbia haraka saana for hataki tena those feelings akiamini atatendwa tena. Hawa watu waweza pata mtu wa kumpenda ukweli kabisa BUT hawathamini hilo penzi wala they don't give a damn!
  3. Kuna Mwingine hupenda.... na akitendwa, anaumia na kuugulia moyo wake kwa mda mreeeefu, hata miezi/miaka kadhaa. Then anarudi kwenye mstari na kuamini kua yule Ex alikua tu mpuuzi na hakuona umuhimu wake, hivo basi falls in love again... Anaumizwa, anaugulia kwa mda mrefu, then again..... Mpaka ampate yule ambae anaona ni wake. Hawa watu huamini kua haiwezekani kabisa kua mwanadamu anaweza kosa mtu ambae watapendana sawa.....

Gagurito missed you..... Habari yako bana!

good analysis as usual madam
mimi naangukia hilo kundi lenye red kwa namna moja au nyingine
much repect to you . natumaini unakumbuka ni ubusy tu
 
Bahati nzuri mungu alitupa moyo wa kusahau ,uwezekana wa kufungua moyo tena upo ingawa kwa tahadhari zaidi

karibu tena gagurito

Asante sana FirstLady, ila Mungu huyo huyo ktk biblia amesema "dhambi husamehewa ila makovu yake yatadumu milele" kama cjakosea!
 
IMO wanadamu tumetofautiana katika kila aspect... Hasa katika kuhimili maumivu ama kukabiliana na Matatatizo.... Na katika MAPENZI... that is the worst of all na hapo ndo zaidi saana... watu wakitendwa wapishana jinsi ya kurespond; ama jinsi watavokua affected. Kuna watu wa aina tatu (i would say) thou there maybe more..

  1. Kuna mtu anatendwa, but hakati tamaa.... Yeye kila siku anatendwa na kila siku falls again in love - tena sio ile ya mguu moja. No! But ile ya both feets in. Mara nyingi mtu wa namna hii anashindwa kabisa kuishi bila patner (yaani gap ya toka one relationship to another akijitahidi saana ni two weeks maximum); Wana tabia ya kua desperate ile mbaya, hio mara nyingi tokana na kutojua their potential hivo kufanya wapenzi wao mara nyingi kuwachukulia advantage mpaka pale penye kutendwa.... This person mara nyingi hawanaga raha, na hata aweza jiua kwa ajili ya wapenzi..... Sad.
If you dont mind lets analyze the first one ... Is that ..real ... Love ? ... or ..Kuna siri fulani hapo ....

yaani kuna msukumo anaupata au kuvutiwa na kupendezwa na mtu anayemtenda... Yaani..katendwa mara ya kwanza ..cha ajabu ...tena ajabu sana ...anajishagaa ..haoni tatizo kutendwa..!! and what happens ..Anatendwa ..anonewa...tena ..na tena ...!! Hatakuwa na raha of course .. Lakini hawezi kujitenga na mtendaji .. au!?
 
umewahi kutendwa jibu ndiyo unaweza kupenda tena jibu ndio kwa sababu nina hisia , kwa sasa nina maumivu ngoja niyasikilizie kwanza . Usiombee kutendwa mkuu utaomba duniani ipasuke maana unaona kama ndio last hope .................
moyo najipa kuna ambaye ameandaliwa kwa ajili yangu.........

Hahahahaha! Au mpaka umpate huyo mwenzio aliyetendwa pia?!
 
Waswahili wanasemaga

1. Mkuki mtamu kwa nguruwe ila kwa binaadamu mchungu
2. Mzigo wa mwenzio begani kwako ni kama kanda la sufi
3. Mtenda akitendewa hujihisi kaonewa
4. Malipo ni hapa hapa duniani

Kwa kifupi kutendewa si masihara hata kidogo, wengi tunawatendea wenzetu lakini sisi tukitendewa inakua ngumu sana, na inasemwa ukifanya dhambi huku unacheka utaingia motoni huku unalia.

Kikubwa ukitendwa utangalia na kosa liuzito gani, na hapa kikubwa kinachotuumiza zaidi ni AIBU kwa yale yaliyotendeka, je kupenda tena huku ni kwa yuleyule ama kwa mwengine.

Kama kwa yuleyule, utapenda japo utakua bado na majeraha moyoni. TUWE WAAMINIFU KWA WAPENZI WETU

Mkuu naona unacheza na NGELI ZA KISWAHILI.
 
Kutendwa naweza kusema nijambo la kawaida kwa maisha yetu ya leo,nimeshatendwa na sio kama nimesahu la hasha bado sijasahau na wala sitosahau sema unajipanga tena upya na maisha lazima ya songe mbele...

Kwa experience yako wapaswa kutueleza madhara ya kutendwa ktk mapenzi!
 
Nafikiri kutenda na kutendwa ni kawaida sana katika mapenzi hivyo basi inatupasa kusamehe, kusahau na kuendelea mbele. Forward forever, backward never!
mie kanuni YANGU ni hii nasifikiriI kuibadili sweet revenge kwangu ni forgiveness .NASAMEHE SABA MARA SABINI MAUMIVU NAYAUGULIA MWENYEWE SITAKI TAABU
 
Kwa experience yako wapaswa kutueleza madhara ya kutendwa ktk mapenzi!
huwa inapoteza matumaini kabisa hasa ule upweke .
maana mtu unayempenda anapokupiga chini anakupotezea sana dira kihisia ,kimtazamo, hata mambo mengine ya kimaendeleo ukizingatia unakuwa umempaa nafasi kubwa katika ,moyo , maamuzi, ushauri .....
 
good analysis as usual madam
mimi naangukia hilo kundi lenye red kwa namna moja au nyingine
much repect to you . natumaini unakumbuka ni ubusy tu



Niharakishe kuuliza "Usiniambie hukupata the Final feed back??" Tafadhali naomba nijulishe.... (I know for a fact wee waangukia hapo) if you remember well your last PM explained this....
 
IMO wanadamu tumetofautiana katika kila aspect... Hasa katika kuhimili maumivu ama kukabiliana na Matatatizo.... Na katika MAPENZI... that is the worst of all na hapo ndo zaidi saana... watu wakitendwa wapishana jinsi ya kurespond; ama jinsi watavokua affected. Kuna watu wa aina tatu (i would say) thou there maybe more..


  1. Kuna mtu anatendwa, but hakati tamaa.... Yeye kila siku anatendwa na kila siku falls again in love - tena sio ile ya mguu moja. No! But ile ya both feets in. Mara nyingi mtu wa namna hii anashindwa kabisa kuishi bila patner (yaani gap ya toka one relationship to another akijitahidi saana ni two weeks maximum); Wana tabia ya kua desperate ile mbaya, hio mara nyingi tokana na kutojua their potential hivo kufanya wapenzi wao mara nyingi kuwachukulia advantage mpaka pale penye kutendwa.... This person mara nyingi hawanaga raha, na hata aweza jiua kwa ajili ya wapenzi..... Sad.
  2. Kuna yule ambae akitendwa mara moja na hasa kama alipenda kuvuka mpaka with all his/her heart and Soul ni kwamba mchezo hapo unakua umeisha!! No loving again.... Ever! Na akipata mtu(mwenza) na akahisi kuahisi kua s/he is falling in love, anakimbia haraka saana for hataki tena those feelings akiamini atatendwa tena. Hawa watu waweza pata mtu wa kumpenda ukweli kabisa BUT hawathamini hilo penzi wala they don't give a damn!
  3. Kuna Mwingine hupenda.... na akitendwa, anaumia na kuugulia moyo wake kwa mda mreeeefu, hata miezi/miaka kadhaa. Then anarudi kwenye mstari na kuamini kua yule Ex alikua tu mpuuzi na hakuona umuhimu wake, hivo basi falls in love again... Anaumizwa, anaugulia kwa mda mrefu, then again..... Mpaka ampate yule ambae anaona ni wake. Hawa watu huamini kua haiwezekani kabisa kua mwanadamu anaweza kosa mtu ambae watapendana sawa.....

Gagurito missed you..... Habari yako bana!

AshaDii kweli nilikumiss dah! Yan hapa umenena vyote, umetoa zaid ya kile kilichokua chanikereketa. Analysis yako ipo poa best, imeshiba. Nadhani wengi wataenjoy kwa kile ulichosema!
Kuhusu hawa wanaotendwa then wanafall inlove wakatendwa tena hivi wanajua maana ya mapenzi kweli? Ni aina gani ya wapenzi wanaoingia nao ktk mahusiano? Mi nadhan watu wa namna hii hawajui maana halisi ya mapenzi na sidhani kama wanaweza dhurika kwa kutendwa!
 
Niharakishe kuuliza "Usiniambie hukupata the Final feed back??" Tafadhali naomba nijulishe.... (I know for a fact wee waangukia hapo) if you remember well your last PM explained this....
madam sikuipata maana nilikuwa naisubiri kwa hamu nikajua ubusy sana yawezekana ni comm breakdown ila sijaitapa the last PM ni ile ambayo inataka nivute subira coz uko busy kimtindo.
unaweza nitumia tena coz naamini ina maanufa sana kwangu
asante
 
huwa inapoteza matumaini kabisa hasa ule upweke .
maana mtu unayempenda anapokupiga chini anakupotezea sana dira kihisia ,kimtazamo, hata mambo mengine ya kimaendeleo ukizingatia unakuwa umempaa nafasi kubwa katika ,moyo , maamuzi, ushauri .....

Ni kweli mkuu. Labda nikieleze nimetoa wapi wazo hili. Kifupi sikutarajia kama litanikaa ktk fikra zangu namna hii, mwanzoni nilidhani mzaha, ilikuwa ni Movie ya FORGETING SARAH MARSHALL, ckumpatia picha muhusika, kifupi ni ngumu sana kumsahau mwenza wako, na kama ulimpenda kwa dhati, nae akakaa moyoni mwako then akakatisha penzi lenu waweza chizika. Inauma sana na ni ngumu kumsahau!
 
Back
Top Bottom