Nikukosa umakini na kutokuwa na uchungu na taifa hili, ila Jaji mkuu anauwezo wakumshitaki rais, pindi anaona Rais analiendesha taifa pasipo kujali sheria. Nilazima tujuwe, urafiki, ukaribu ndio stail ya serikali ya Kikwete na ndio maana uwajibikaji ni mdogo, ingawa sisi watanzania tumenyamaza nilazima tujuwe uwenda atakuwa Rais wakwanza ktk Historia ya taifa hili kusimamishwa kizimbani ikiwa atatokea jaji smart na mwenye kujuwa kile Rais anapaswa kukifanya. Huu ni upepo wa sunami wakutaka mabadiliko ktk taifa hili, watanzania watapanga misururu mirefu kuhakikisha wana ing'oa serikal yao just kwa ububu wa mkuu wa nchi. Hayati baba wa taifa aliwah kusema ikiwa hakimu anapigiwa kelele na wananchi anahukumu kes ndivyo sivyo mtasubir mpaka ushaidi? Kwanin msimng'oe? Rais J.k amekuwa mtu wakupenda ushaidi sana wakati watanzania wanateseka na kunyonywa je anamanisha nini? "Ndugu watanzania mtanikumbuka" Rais Benjamin Mkapa