Je wajua?!!

Kijiweni

Member
Feb 23, 2010
24
1
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.
 
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.

mambo ya mdudu mtu hakuna kitu
 
endeleeni kukufuru mungu.... maana mshawapangia uhai hao watu, tena uhai wa kudumu!!!! tusije tafutana ubaya badae wakati mungu akiamua kuchukua maua yake
 
Speculation kwa Watanzania ni jambo la kawaida. Hata kwenye michezo mengi huandikwa kabla ya mchezo game likija tunachapwa kiboko.
 
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.

b...shit..
 
Hivi na yale ya Mama Meghji kuwa VP yameishia wapi?!
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.
 
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.
Ushindwe na ulegee....koma tena koma
 
jamani mzee wa kijueni, mafuta mchakachue na hata utawala wa nchi mnataka kuchakachua???????? raha ni nini hadi mchakachue?
 
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.

.
Uu mwanafunzi wa chuo cha sheikh Yahya au?
 
Majina ya viongozi wetu baada ya uchaguzi ni haya:

2010/15
1.JK-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.Pinda-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

2015/20
1.Lowasa-Rais wa URT
2.Karume-VP wa URT
3.H.Mwinyi-PM
4.Shein-Rais wa zenj.

Habari ndio hiyo, lamda augue mtu.

Mkuu, u r almost there :) .... utabiri wangu ni huu:

2015/20
1.Karume-Rais wa URT
2.Lowassa-VP wa URT
3.Membe-PM
4.H.Mwinyi-Rais wa zenj.
 
Back
Top Bottom