je wajua we unayesoma hapa sahv kama ni mwanaume mm huwa n spea tairi wa dem/mke wako!
je wajua mkeo au demu wako ni spea tairi wa wanaume wote wanaosoma hapa jamii forum
Je wajua maana ya neno 'fariki' ni 'ondoka?'.
Ndio maana mtu akiaga dunia tunasema 'amefariki dunia'. Kwa hiyo unaweza ukalitumia neno lenyewe kwa mfano ukitaka kumuuliza mgeni wako anaondoka lini, mwambie 'Utafariki lini?'.
Hahaha! nimeipenda hii kuendeleza matatizo badala ya kuyatatua.Je wajua kuwa hata kikwete aliachiwa nchi tayari ikiwa na matatizo? Alichofanya ni kuyaendeleza tu.
Je wajua kuwa hata kikwete aliachiwa nchi tayari ikiwa na matatizo? Alichofanya ni kuyaendeleza tu.
Hahaha! nimeipenda hii kuendeleza matatizo badala ya kuyatatua.