na Kikwe.......
kitimotooumeshamuonja huyu?
Mfano Kuku, Keki, KITUMBUA, Kalimati pamoja hicho unalichokifikiria kingekuwa kwenye orodha hii.
Na si kingine ngoja nikitaje live sasa KULALA.
Ongezea na wewe kama kipo kingine uone utakavyopigwa:banplease:
Kahawa, kashata, kunya.
'K" kwa maana yake halisi.
nin hicho preta........mate......maziwa......maji................ au nanihiiiiiiiiiiiiiuwongo mtupu.....mimi changu kitamu kuliko vyote kinaanzia na M.....chezea M wewe.....
kama upo tayari nimtume kijana wangu akuleteekwangu kitamu kinaanza na m bana
teh...teh....ww umefanya nnwoote mliochangia upuuzi huu, hamna kitu.