Huo haukuwa utabiri. Alikuwa anazungumzia wishes zake. Hakusema mwaka 2008 mweusi atakuwa rais Marekani. Huo ndio ungekuwa utabiri.
The difference is the same.Kasema kaota ndoto sio wishes
Ha!ha!ha!....MwanaFalsafa u made me logh kwa utabiri wako.....hilo ni swala la muda tu, kama Obama alivyo african-american president wa kwanza, bac hata mwanamke one day atakuwa raisNa mimi natabiri kupitia ndoto niliyo ota kuwa kuna mwanamke atakuja kuwa raisi wa Marekani. Quote me on this....
Field Marshal Iddi Amini Dadah (pbuh) a prophet of allah!
nakubali kwamba idd amin alitabiri!kwan hata martin Luther king nae zilikuwa wìsh zake lakin wakasema ametabiri,kwann tusimkubali mwafrika mwenzetu?Kasema kaota ndoto sio wishes