Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Nakunywa maji ya maembe kutoka Misri, nikafanya uchunguzi mdogo tu.
Misri ni jangwa, eneo linalolimika halizidi 3.5% yake (35,000 km2 katika bonde la mto Nile) na inauza nje maji ya maembe.
Tanzania ardhi inayoweza kulimika kwa rutuba ni zaidi ya 36.7% ya nchi (347000 km2) kama mara kumi ya eneo linalolimika la Misri.
Hata ukitoa mbuga na hifadhi zote ( Mbuga ya Selous peke yake inaipita Uswizi kwa ukubwa ! ) zifikazo 220,000 km2 (23% ya nchi) utabaki na zaidi ya 127,000 km2, zaidi ya mara 3.5 ya Misri, mito na maziwa mengi, lakini sijaona maembe ya Tanzania kuuzwa nje. Na zaidi ya yote habari hizi ziko kwa makisia ya kihafidhina zaidi, maana yake Tanzania kuna ardhi zaidi ya ilivyoonekana.Bongooo, kunani paleee ?
Misri ni jangwa, eneo linalolimika halizidi 3.5% yake (35,000 km2 katika bonde la mto Nile) na inauza nje maji ya maembe.
Tanzania ardhi inayoweza kulimika kwa rutuba ni zaidi ya 36.7% ya nchi (347000 km2) kama mara kumi ya eneo linalolimika la Misri.
Hata ukitoa mbuga na hifadhi zote ( Mbuga ya Selous peke yake inaipita Uswizi kwa ukubwa ! ) zifikazo 220,000 km2 (23% ya nchi) utabaki na zaidi ya 127,000 km2, zaidi ya mara 3.5 ya Misri, mito na maziwa mengi, lakini sijaona maembe ya Tanzania kuuzwa nje. Na zaidi ya yote habari hizi ziko kwa makisia ya kihafidhina zaidi, maana yake Tanzania kuna ardhi zaidi ya ilivyoonekana.Bongooo, kunani paleee ?