Muccobs ni chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara ni branch ya Sua, kilipata kuwa university mwaka 2004, ningependa kusema kwamba tangu kipewe hadhi ya kuwa chuo kikuu kishiriki hamna darasa wala jengo lolote lililojengwa zaidi ya kubadili canteen kuwa lecture hall, dept ya kuhifadhi document kuwa lecture hall, na ni chuo kikuu kwa kusini mwa africa pekee kinachotoa digrii kuhusu ushirika kuna watu wanatoka nchi mbalimbali kusoma pale, kwa mawazo yangu nlifikir kwa hazina hii tuliyonayo 2ngeweza kukifanya kiwa gumzo kwa nchi mbalimbali na kuwa2mia wasomi wake kuendeleza vyama vyetu vya ushirika kuliko kutenga fedha nyingi kwenda Udom! Naomba kuwakilisha