Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,425
- 2,109
Mkuu,
MMKJJ kaandika kwa mtindo wa kejeli... soma tena uelewe
Wako wengi watu wa hivyo. Typical Tanzanians. Hawasomi habari/mada kwa undani. Ndio maana wanadanganywa sana na magazeti ya udaku, pamoja na yale ya alasiri. Mtu anasoma headline tu, basi ana-conclude na anaanza mashambulizi.
Hapo juu, MMJJ ameshambuliwa na watu ambao hawakuisoma ile mada kwa umakini.