masoudmwevi
Member
- Aug 5, 2008
- 53
- 2
HABARI ZENU WANA JF
Nimeonelea leo tujadili hili suala je watunga sera hawalioni kama ni kitega uchumi kwa wenzetu toka Bukoba hasa maeneo ya Nyamkazi especially maeneo ya Nyanshenye secondary school?
Je,nini wanawasaidia wananchi hao?
Lakini pia kuna suala la watoto wadogo sana chini ya umri wa miaka kumi na tano wanaonekana maeneo hayo usiku wa manane wakitafuta senene mbaya zaidi hakuna cha senene wala nini bali ni vitendo vya uasherati mtupu ndivyovinaendelea huko kiasi kwamba wapiti njia wakati wa mchana ni kero kukuta KONDOMU zimezagaa chini tena zikiwa hata hazijafunguliwa.
Je,nikweli haiwezekani kuweka sera ya kupadhibiti pawe sehemu maalum kwa wavuna senene na kuwanusuru watoto wale wajipatie muda wakupumzika majumbani
Na je ni kwanini wazazi wanawaruhusu wanawao kwenda huko usiku
Nimeonelea leo tujadili hili suala je watunga sera hawalioni kama ni kitega uchumi kwa wenzetu toka Bukoba hasa maeneo ya Nyamkazi especially maeneo ya Nyanshenye secondary school?
Je,nini wanawasaidia wananchi hao?
Lakini pia kuna suala la watoto wadogo sana chini ya umri wa miaka kumi na tano wanaonekana maeneo hayo usiku wa manane wakitafuta senene mbaya zaidi hakuna cha senene wala nini bali ni vitendo vya uasherati mtupu ndivyovinaendelea huko kiasi kwamba wapiti njia wakati wa mchana ni kero kukuta KONDOMU zimezagaa chini tena zikiwa hata hazijafunguliwa.
Je,nikweli haiwezekani kuweka sera ya kupadhibiti pawe sehemu maalum kwa wavuna senene na kuwanusuru watoto wale wajipatie muda wakupumzika majumbani
Na je ni kwanini wazazi wanawaruhusu wanawao kwenda huko usiku
Attachments
-
Image0292.jpg183.7 KB · Views: 67
-
Image0282.jpg152.1 KB · Views: 67
-
Image0278.jpg124.3 KB · Views: 60
-
Image0316.jpg173.4 KB · Views: 58
-
Image0283.jpg135.9 KB · Views: 51
-
Image0276.jpg156 KB · Views: 49
-
Image0285.jpg144.4 KB · Views: 49
-
Image0275.jpg177.2 KB · Views: 53
-
Image0314.jpg344.3 KB · Views: 46
-
Image0289.jpg137 KB · Views: 51
-
Image0290.jpg123.2 KB · Views: 55