Je viongozi mnaliona hili

masoudmwevi

Member
Aug 5, 2008
53
2
HABARI ZENU WANA JF
Nimeonelea leo tujadili hili suala je watunga sera hawalioni kama ni kitega uchumi kwa wenzetu toka Bukoba hasa maeneo ya Nyamkazi especially maeneo ya Nyanshenye secondary school?
Je,nini wanawasaidia wananchi hao?
Lakini pia kuna suala la watoto wadogo sana chini ya umri wa miaka kumi na tano wanaonekana maeneo hayo usiku wa manane wakitafuta senene mbaya zaidi hakuna cha senene wala nini bali ni vitendo vya uasherati mtupu ndivyovinaendelea huko kiasi kwamba wapiti njia wakati wa mchana ni kero kukuta KONDOMU zimezagaa chini tena zikiwa hata hazijafunguliwa.
Je,nikweli haiwezekani kuweka sera ya kupadhibiti pawe sehemu maalum kwa wavuna senene na kuwanusuru watoto wale wajipatie muda wakupumzika majumbani
Na je ni kwanini wazazi wanawaruhusu wanawao kwenda huko usiku
 

Attachments

  • Image0292.jpg
    Image0292.jpg
    183.7 KB · Views: 67
  • Image0282.jpg
    Image0282.jpg
    152.1 KB · Views: 67
  • Image0278.jpg
    Image0278.jpg
    124.3 KB · Views: 60
  • Image0316.jpg
    Image0316.jpg
    173.4 KB · Views: 58
  • Image0283.jpg
    Image0283.jpg
    135.9 KB · Views: 51
  • Image0276.jpg
    Image0276.jpg
    156 KB · Views: 49
  • Image0285.jpg
    Image0285.jpg
    144.4 KB · Views: 49
  • Image0275.jpg
    Image0275.jpg
    177.2 KB · Views: 53
  • Image0314.jpg
    Image0314.jpg
    344.3 KB · Views: 46
  • Image0289.jpg
    Image0289.jpg
    137 KB · Views: 51
  • Image0290.jpg
    Image0290.jpg
    123.2 KB · Views: 55
huku dar saa 3 asubuhi muda wa shule watoto wapo Playstations cafe ya video games!
 
Back
Top Bottom