mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Ni kweli kwamba kwa sasa shule nyingi zimefuta adhabu ya viboko Mashuleni na nikweli kwamba hata mwanafunzi akikosa ni nadra sana kuona mwalimu anachukua kiboko kumpiga. Zaidi ya hilo kelele zimeendelea kuwa nyingi kwa shule ambazo bado zinaendeleza adhabu ya viboko!! Je ni kwamba viboko ni vibaya sana kiasi cha kuvizuia? Je wanafunzi kama sisi wa miaka ya 60s,70s,80s,90s tulionewa sana pale tulipokuwa tunachapwa viboko? je uelewa wa wanafuzi wa sasa ambao hawachapwi na wale wazamani wenzangu na mie ambao tulikula mboko za kutosha ni wapi wenye upeo?!
Nawakilisha tu!
Nawakilisha tu!