je,utajuaje kuwa uko tayari kuwa kwenye uhusiano?

twenty2

JF-Expert Member
May 20, 2011
296
32
neno tayari ktk uhusiano maana yake ni kwamba mtu amejiandaa na yuko tayari kuingia ktk uhusiano hasa ule wa muda mrefu na mara nyingi husema mtu yuko tayari akiwa ameshakamilisha kujiandaa na maisha yake,watu wengi udhani kuwa tayari kuingia kwenye uhusiano ni miaka20,lakini baadae hugundua kuwa wanaitaji maandalizi makubwa kuingia ktk ulimwengu huo na wengine hujikuta wakiwa ktk matatizo makubwa kutokana na kuwahi ktk suala zma la mapenzi.
 
ya ,umesema kweli kabisa ,kila kitu kina hitaji maandalizi, kwani uhusiano wa umri mdogo hua hauna happyending, kwani inakua bado hawajajua nn wana fanya,na pia kukutana na right pesorn, katika right time, pale ushakua unaweza ku manage yr life , bila ya hapo ndio unajikuta some time unaingia ktk matatizo,:A S cry::A S 12:
 
Kuingia kwenye uhusiano siyo lazima umejiandaa,unapokuwa kwenye uhusiano unapata mda mkubwa na mrefu wa kumjua mchumba anayekufaa,unajua jinsi atakavyokuvumilia,otherwise kama unasubiri upate kwanza mafanikio makubwa ndo uingie kwenye uhusiano utakuja kuingia pabaya,halafu uhusiano unaanza pale feelings zinapokuja na umempenda mtu flani,kwa hiyo hutaweza kuzuia.
 
inategemea unazungumzia kujiandaa kwa jinsi gani. Kama unamaanisha kununua makochi, kabati, tv n.k umekosea, hivi mkitafuta pamoja ndo vizuri zaidi - anzetu kwa kulala chini, kukaa chini n.k. Ndo itakuwa mojawapo ya historia yenu ya ndoa. Ila kama una maanisha kuwa na muda mrefu wa kujuanana tabia nakubaliana na wewe. Lakini pia ujue ukimchunguza sana bata ..........................
 
kujiandaa kuzuri ili mjuane vizuri maana mapenz yanatesa kama hukumjua mtu vzr
 
Kuingia kwenye uhusiano siyo lazima umejiandaa,unapokuwa kwenye uhusiano unapata mda mkubwa na mrefu wa kumjua mchumba anayekufaa,unajua jinsi atakavyokuvumilia,otherwise kama unasubiri upate kwanza mafanikio makubwa ndo uingie kwenye uhusiano utakuja kuingia pabaya,halafu uhusiano unaanza pale feelings zinapokuja na umempenda mtu flani,kwa hiyo hutaweza kuzuia.

Pengine umemtafisiri vibaya Mkuu
Nadhani utayari anaousemea ni kifikra/kiakili na sio kiuchumi kama ulivyomtafsiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom