mimi ndi o usiseme, lkn nikiwa sijalal usiku jana yake nitabembea mno, siku moja niliponea chupchup nilimwangukia jirani/abiria nilimgonga kichwa, akataka anibonde, thnx kwa abiria
Jamani % kubwa ya watanzania iwe jioni, asubuhi au mchana utaona muda wote wanauchapa usingizi, je kusinzia huku kunafaida gani kiafya??
Pole sana - dah umenichekesha sana mkuu.
Jamani % kubwa ya watanzania iwe jioni, asubuhi au mchana utaona muda wote wanauchapa usingizi, je kusinzia huku kunafaida gani kiafya??
Jamani % kubwa ya watanzania iwe jioni, asubuhi au mchana utaona muda wote wanauchapa usingizi, je kusinzia huku kunafaida gani kiafya??
Ah, ndugu yangu we, wengine waishi mbali zaidi ya 25km,automaticaly mtu anauchapa kishkaji
Jamani % kubwa ya watanzania iwe jioni, asubuhi au mchana utaona muda wote wanauchapa usingizi, je kusinzia huku kunafaida gani kiafya??