Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
- Thread starter
- #21
Hey hey...!!! Angalieni msije mkaishia Mabepwande..
Hivyo eee. Duuhh sasa tufanyaje.
Hey hey...!!! Angalieni msije mkaishia Mabepwande..
Mawazo yako ni the best option, lakini sijui kama ni feasible.Nataka muungano uendelee wa serikali moja na sheria moja
kwanza nakupongezeni kwa kuwa na hii forum 2napoweza kuchangia mawazo ye2 though cjajua kama kwa namna yoyote ile yanafikia wahusika au yanaishia hapahapa. ila kwa mtazamo wangu muungano una mapungufu mengi sana na sidhani kama ni jambo la busara kuendelea na mchakato wa katiba ya jamuhuri wakati hili halijakaa sawa tutakuja kuumia baadaye. mimi nadhani muungano ungekuwa wa serikari tatu lakini serikari hizi mbili (serikari ya Tanganyika na serikari ya Zanzibar) zisiwe na maraisi bali kuwe na makamu wa pili wa rais kila upande huku serikari ya muungano ikiwa na rais na makamu wa kwanza wa rais watakao shughulika na masuala ya taifa zima.
Haya mkuu, mmm, lakini ligha kali kweli.Nataka muungano wa mkataba, huuwa nyerere na karume ni muungano wa mataahira
Naona mawazo yetu yanafanana.Ningependa kuwe na mfumo wa states,na ili hili lifanikiwe Zanzibar kwanza wakubali kuondoa katika katiba yao kuwa Zanzibar ni nchi,pia kuwe na states of Tanganyika na States of Zanzibar, muungano ujulikane kama United states of Tanganyika and Zanzibar hii italeta mantiki kidogo kuwa kuna nchi mbili ziliungana,viongozi wa hizi states wajulikame kama magavana siyo Rais ila kuwe na Rais Mmoja wa USTZ na katiba iwe moja itakayoelezea jinsi kila states itakavyojiendesha.
Kwani viwanja vimeisha, hebu nitafutie kiwanja katika huo msitu, na ile mishale ya Olimpiki.Hey hey...!!! Angalieni msije mkaishia Mabepwande..