Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Wanajamii
Najua wengi mmesikia kwenye vyombo vya habari yule mzee wa kusini aliamua kumdhalilisha binti yake na kufanya nae mapenzi hata kumpunguzia muda wa kwenda shule.
Duh,mimi imenihudhunisha sana na ninavyohisi yawezekana kuna familia zinazofanyiwa hivi ingawa zimeshindwa kujitokeza.
Ni aibu na fedheha na unyama sana...
Mtu kama huyu kufungwa tu inatosha au,
Najua wengi mmesikia kwenye vyombo vya habari yule mzee wa kusini aliamua kumdhalilisha binti yake na kufanya nae mapenzi hata kumpunguzia muda wa kwenda shule.
Duh,mimi imenihudhunisha sana na ninavyohisi yawezekana kuna familia zinazofanyiwa hivi ingawa zimeshindwa kujitokeza.
Ni aibu na fedheha na unyama sana...
Mtu kama huyu kufungwa tu inatosha au,