Kuna wizara 28. Je ungependa wizara zipi zifutwe na kwanini?
Hivi hii nayo ni thread?Kuna wizara 28. Je ungependa wizara zipi zifutwe na kwanini?
Mkuu ziweke hapa basi ili tukumbushane. Pia kumbuka ni vigumu kufuta wizara unachotakiwa na kuunganisha wizara ama majukumu ya wizara mbalimbali ili kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri. Ukifuta itakuwa kazi.Kuna wizara 28. Je ungependa wizara zipi zifutwe na kwanini?
Hivi hii nayo ni thread?
Mkuu kuna wizara zingine ambazo lazima ziwepo kwa mujibu wa mikataba na nyingine kwa mujibu wa matakwa ya WAKUBWA. Mfano lazima iwepo wizara ya Afrika Mashariki - hii ni kwa mujibu wa makataba wa uanzishaji wa EAC hivyo huwezi kuiunganisha na wizara nyingine. Mkuu pia kuna wizara kama ya utawala bora - hii lazima iwe na waziri wake, nyingine ni wizara ya Jinsia/wanawake: hii nayo WAKUBWA (Development Partners) wanaitaka. Hizo kwa uchache lazima ziwepo utake usitake!Zibaki hizi nyingine zifutwe:
1.Miundombinu(barabara,viwanda,umeme)
2.Wizara ya mali asili(iingizwe utalii,kilimo,maji,madini,misitu na v2 vinavyofana na hvyo)
3.Wizara ya Fedha na Uchumi(kazi,uchumi etc)
4.Wizara ya afya(ustawi wa jamii,afya yenyew,etc)
5.Wizara ya Elimu(ya juu,elimu kati etc)
6.wizara ya michezo na utamaduni
7.Wizara Mtambuko(makolokolo ambayo hayana wizr na yanaingiliana na wzr nyingn indirect)
Baaaaaaasiiiiiiiiiii.
Lugha ya Taifa ingenisaidia hata mimi kuelewa. Labda sijui vizuri kiingereza mkuu ila neno which linapoongozana na it linanipa tabu sana kuelewa.What do you think? Yes this is a thread,problem of you,is that;whenever someone starts the thread which touches interest of magamba you tend to ignore it.For me this is a constructive thread,because for many years Tanzanians are complaining about larger number of ministries and ministers which it has implications in term of cost of running these ministries.
Mkuu kuna wizara zingine ambazo lazima ziwepo kwa mujibu wa mikataba na nyingine kwa mujibu wa matakwa ya WAKUBWA. Mfano lazima iwepo wizara ya Afrika Mashariki - hii ni kwa mujibu wa makataba wa uanzishaji wa EAC hivyo huwezi kuiunganisha na wizara nyingine. Mkuu pia kuna wizara kama ya utawala bora - hii lazima iwe na waziri wake, nyingine ni wizara ya Jinsia/wanawake: hii nayo WAKUBWA (Development Partners) wanaitaka. Hizo kwa uchache lazima ziwepo utake usitake!
What do you think? Yes this is a thread,problem of you,is that;whenever someone starts the thread which touches interest of magamba you tend to ignore it.For me this is a constructive thread,because for many years Tanzanians are complaining about larger number of ministries and ministers which it has implications in term of cost of running these ministries.
Mkuu kuna wizara zingine ambazo lazima ziwepo kwa mujibu wa mikataba na nyingine kwa mujibu wa matakwa ya WAKUBWA. Mfano lazima iwepo wizara ya Afrika Mashariki - hii ni kwa mujibu wa makataba wa uanzishaji wa EAC hivyo huwezi kuiunganisha na wizara nyingine. Mkuu pia kuna wizara kama ya utawala bora - hii lazima iwe na waziri wake, nyingine ni wizara ya Jinsia/wanawake: hii nayo WAKUBWA (Development Partners) wanaitaka. Hizo kwa uchache lazima ziwepo utake usitake!
Lugha ya Taifa ingenisaidia hata mimi kuelewa. Labda sijui vizuri kiingereza mkuu ila neno which linapoongozana na it linanipa tabu sana kuelewa.
Mkuu Nzi mimi siyo kwamba nakubaliana na hayo matakwa ya wakubwa. Muwe mnasoma between lines angalia nimeandika WAKUBWA na si wakubwa. Kuandika neno kwa herufi kubwa ambapo lilitakiwa liwe herufi ndogo basi linakuwa na ujumbe tofauti. Pamoja na hayo mkuu nilikuwa nataka kuonyesha jinsi serikali zetu zinavyoendeshwa na WAKUBWA.Wakubwa wanataka?! Kwa Cameron,mbona hawakukubali?
Mkuu,thinking kama yako ya kukubali yale WAKUBWA wanayoyataka,ndiyo moja ya sababu ya umaskini wetu,kuanzia SAPs za WB/IMF,gender equality,environmental affairs,climate change n.k.
Haya ya kukubalikubali ndiyo mwanzo wa land grabbings tunazoshuhudia sasa kwa mwamvuli wa uwekezaji!
Tubali fikra hizo,sisi kama nchi tujiamulie mambo yetu wenyewe. Mwalimu alituasa kuhusu hayo,lakini tumempuaza,na sasa tunaona madhara yake.
Mikataba kitu gani,inavunjwa tu kama haina manufaa? Haya mambo ndio yanatugharimu sana,zote hizo zinavunjwa na kua deptment.
Mkuu tunaendeshwa huwezi kuamka tu na kuivunja. Tungekuwa tumeishavunja mikataba ya madini. Katika historia ya nchi hii kuna mtu mmoja tu alithubutu kuupuuza mkataba wa kikoloni, sijawahi kusikia mkataba mwingine ukivunjwa hapa nchini.