Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mtu hata mmoja anaejua the number of men you slept with??????/
skeletons! ben carson alisema 'never put skeletons in ur closet coz they will hunt u down till they find u'. kuna cases kama 3 nimeshuhudia unakuta kijana yuko 25+ yrs of age,afu anaitwa na mzee ambae anakaribia kukata kauli na kuambiwa 'im nt ur father!!'. women can keep a secret aisee,especially kuhusu baba wa mtoto!
Mfano wa siri ni kama mwanamke kuwa historia ya kubakwa pengine na mwanaume zaidi mmoja{train},na hata mwanaume kuwahi kufanyiwa tendo kinyume na maumbile iwe kwa hiyari ama lazima haijalishi..Kuua kwa makusudi labda kwa sumu au mganga, binadamu yeyote awe mzazi,mtoto,mke au mume. Utaweza kuficha historia yako ya wizi ama hata ujambazi uliouacha. Utaficha kitendo chako cha kuwahi kulala na shoga,mwanamke au mwanaume punguani,chizi na kwa wengine hata mtu mwenye ulemavu wa viungo hasa wa miguu..
Naamini 100% kuwa kila binadamu anazo siri ama habari nyeti ambazo atakaa nazo na atazikwa nazo. Kuna sababu mbalimbali ambazo zinachangia kutozisema kama vile kuogopa kuvunja ndoa, mahusiano, kutenganisha familia ama hata kwenda jela ama kulipiziwa kisasi. Unaposema hapo juu kwenye red eti wewe binafsi huna sidhani kama uko honest. Kila member humu JF anazo na deep down kila mtu analijua hilo na dhamira zinatusuta rohoni
nakuunga mkono 99%..kwa kuongezea ili zitimie mia ni kua..wakati mwingine jambo linakua la siri bila ya kudhamiria/kupanga iwe hivyo...ni pale ambapo humshirikishi mtu yoyote jambo unalolifaham/lililokutokea pengine kwa kutoona umuhimu wa kuwashirikisha,kutopata nafasi au kusahau jambo hilo kwa muda fulani..iyo inabaki kuwa siri kwako tu.
skeletons! ben carson alisema 'never put skeletons in ur closet coz they will hunt u down till they find u'. kuna cases kama 3 nimeshuhudia unakuta kijana yuko 25+ yrs of age,afu anaitwa na mzee ambae anakaribia kukata kauli na kuambiwa 'im nt ur father!!'. women can keep a secret aisee,especially kuhusu baba wa mtoto!
Kuna siri nyingine ukiweka wazi unaweza sababisha madhara makubwa ni bora ufe nazo tu.
Mimi naijua RR...
Habari ako binafsi?... Unapotea sana siku hizi...kwema huko?
It's a terrible thing for anyone to have to go through and it just hurts to the core. I'm glad I wasn't lied to. Lakini kwa nini udanganye kuhusu hilo? Msukumo wa kudanganya unakuwa ni nini?
Mkuu, u never know....wengine wanazidiwa na kuzitoa anonimously
tell me NN, if it was u,wld u like to know ur true ID@25 yrs of age?
hiyo sio siri, mi mwenyewe siwakumbuki.