Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 325
Unaamini ukituma sana sms zile wanazokata wastani wa shilingi mia tano au ile inayokaribia karibia utashinda? Hujaskia kesi kama vile mtu anachonga na wafanyakazi wa huko ili utangazwe mshindi? chukulia kwenye milioni moja ya ushindi wanamwambia mshindi wa kutengenezwa kuwa utachukua laki mbili au moja nyengine itabaki huku ili waliofanikisha ushinde nao wapate chochote? Mimi nimeshaona ivi, ndo maana nakata tamaa hata kushiriki izi nanihii zao, waweza cheza hadi umalize kila kitu na mwenzako akagusa sms moja tu na akaambiwa ndo mshindi!
Tanzania ntakupenda daima.
Tanzania ntakupenda daima.