Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,424
nimeona mara nyingi watu hawajawahi hata kuonana mara moja, lakini siku wakionana tu mmoja anaanza kumuona mwenzake ana ringa.
Au binti anampeleka mchumba kwao ili akajitambulishe, wazazi wanaanza kumsema kwa kilugha huyu mchumba wako mbona anaonekana mwizi.
Jamani Waswahili tuna kazi kwelikweli na vipimo vyetu vya macho
Au binti anampeleka mchumba kwao ili akajitambulishe, wazazi wanaanza kumsema kwa kilugha huyu mchumba wako mbona anaonekana mwizi.
Jamani Waswahili tuna kazi kwelikweli na vipimo vyetu vya macho