fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Mimi sina ma EX katika maisha yangu lakini kuna mwanamke niliwahi kumpenda na sijawahi kumuambia nampenda, sasa nime move katika another section na na yeye ndo kawa kama team leader wetu, sa mara nyingi sana ana ni call niende ofisini kwake...afu nikiwa naongea naye mara nyingi sana ananirembulia macho, anauma uma mdomo wake au ashike kalamu awe anaizungurusha zungurusha mdomoni kwake pale naonge anaye, yani kuna ishara nyingi sana naona kama unautaka.
Mnasemaje wenzagu hapo ni kweli ana utaka au anataka kunizungua.
Ok swali la pili.
Kwa wale ambao mlikuwa mna ma EX....Can u work in the same office with ur EX.
Mnasemaje wenzagu hapo ni kweli ana utaka au anataka kunizungua.
Ok swali la pili.
Kwa wale ambao mlikuwa mna ma EX....Can u work in the same office with ur EX.