Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Hakyanani.....
We yako unaweka wapi?
Hakyanani.....
nikiwa nimelala nitajuaje mikono yangu ilipo?
napita.
Best/wise answer! That's why you are at my moyo.
Hata mi naona!
Nimewapenda kwa moyo mmoja.
Siko tayari kushare wangu!
Siko tayari kugawana upendo wako na mtu!
Yetate Naneee!!!
Kazi Kwei kwei.
Shikiza we Mgosi,
ushe,
Ntan'bidi ukunde na M'bwanga na Mndee M'n'mmoja du.
Afu N'ng'ande ikwe juu ya N'hmeza.
Tike wote tukale Prince wan'ngu.
wangu umeona ukate mawasiliano ilaYetate Naneee!!!
Kazi Kwei kwei.
Shikiza we Mgosi,
ushe,
Ntan'bidi ukunde na M'bwanga na Mndee M'n'mmoja du.
Afu N'ng'ande ikwe juu ya N'hmeza.
Tike wote tukale Prince wan'ngu.
wangu umeona ukate mawasiliano ila
siko tayari kugawana upendo wako na mtu.
Nikate mawasiliano tena???
Me na wewe ni kama Kisamvu na Kopo.
kwani wewe huwa hulali?
Naomba utuambie, je wakati ukiwa umelala unaweka mkono au mikono sehemu gani ya mwili wako?
Naomba utuambie, je wakati ukiwa umelala unaweka mkono au mikono sehemu gani ya mwili wako?
Naomba utuambie, je wakati ukiwa umelala unaweka mkono au mikono sehemu gani ya mwili wako?
Naiweka kwa Maria wangu kuna joto la ajabu!!!!